Dah!Time heals all wounds ..
Waliosema huo usemi hawajakosea..
Mimi nimewahi pitia hiyo leo ukiniambia nikwambie kilichokuwa kinanisumbua hata sikikumbuki ..imagine that..
Itapita miaka utasahau hata nini kilikuwa kinakupa stress...
Shida zingine tunapitia ili tuweze kuthamini hata kidogo tunachokipata...
Huwezi thamini kuwa na TV kama kila siku unaayo..au kulala nyumba haivuji kama hujawahi ona watu wamehama nyumba mvua ikinyesha
Pole sanaaa ,yan hata mimi soon nitaomba ushauri maana nishaanza kuwa na stress kwasasa ndio maana sahv nishaanza kuwa naingia sanaa humu jf ili kupoteza tu mawazo maana nishaona hali tata sasa.
Nimejikuta na hali hiyo kaka angu, hata watu huwa wananiuliza nawambia hakuna chanzo, basi wengine hudai huenda nimerogwa.Doh, ina maana unskosa amani pasi na kuwepo na chanzo chochote cha moja kwa moja?
Hapo ni shida sasa.
Ila unaposhikwa na hisia za kuchoka maisha ni lazima kuna kitu kibaya au cha kuumiza unachodhani utakiepuka wewe ukiondoka, ni kipi hicho? Kuanzia hapo watu wanaweza kupata pa kuanzia.
Ni njia nzuri piaNikiwa na hali kama hiyo huwa nasikiliza nyimbo za huzuni, au movies and cry a lot.
Kisha nalala.
Huo ndo ushauri?njoo binti kutoka BK nikupe ladha kutoka chuga ila ninauzoefu na wa kutoka BK
Never loose hope always! Anza upya kumbuka mazuri uliyofanya jipange upya ,soma vitabu ,endelea kutafuta fursa,fanya mambo yanayokupa furaha na usikumbuke machungu o kutafuta wa kulaume. Have free mind dude.
Sent using Jamii Forums mobile app
We unafikiri nchi ikiongozwa na mwehu watu watakosa kusononeka?Hizi kesi zimekuwa nyingi sana esee....sijui tatizo ni nini.
Pole mkuu.
Nini hasa tatizo?
Doh, hapo kwenye kurogwa wala usipatilie maanani sana kwa sasa kwa sababu mambo ya mfumo wa afya ya akili una mambo mengi mno na linaweza kuwa ni tatizo ambalo linatatulika kwa kupata mtu akakushauri au hivi umetoa dukuduku lako humu ukajikuta baada ya muda unakaa sawa.Nimejikuta na hali hiyo kaka angu,hata watu huwa wananiuliza nawambia hakuna chanzo,basi wengine hudai huenda nimerogwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni mbaya kwa kweli, watu wangu wa karibu wengi wanalalmika na unaweza kuona kuwa wanaisha kwa ndani kdri siku zinavyokwenda. Sijui tutavuka hapa ama vipi.We unafikiri nchi ikiongozwa na mwehu watu watakosa kusononeka?
Hata subconsciously tu uongozi wa nchi unachangia watu kusononeka.
Sent from my typewriter using Tapatalk
😁😁😁😁 dah we jamaa umefanya siku yangu iishe vizuri, nimecheka kisenge tho ninamastress kinoma.Nimesoma nilipofika pale “hata kazini” nikajisemea kumbe anakazi sasahivi nipo YouTube naangalia JeJe JeJeJe JeJe oooh nononooo
Portfolio | 2020