RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,344
- 2,948
Yapata miezi 3 sasa tangu nipate matibabu ya U.T.I sugu ambayo ilifikia kiasi cha kutoa usaha wa ute ute mweupe nikikojoa, matibabu ambayo ilikuwa ni sindano na dose mbili za Metradazolone, Ciprofloxacin nk ambazo zilinisaidia sana hadi kupona.
Sema tatizo naona limeisha sema bado kuna maumivu kwa mbali huwa nayasikia kwa mbali chini ya kitovu maeneo ya kibofu ila muda mwingine yanapotea kabisa, pia nisipokunywa maji kama maumivu yanarudi.
Kiukweli U.T.I sugu usiombe ikupate inatesa sana na kuisha kama kuna muda inapotea na kuna muda inarudi, sasa wasiwasi wangu ni kwamba kama niliweza kuambukizwa U.T.I sugu je sijaambukizwa kweli H.I.V maana natamani kweli nikapime ila nina wasiwasi kweli, na nina stress muda wote najiona kama tayari nimeathirika tayari maana nikijiangalia baadhi ya dalili kama naziona kama kuchoka bila sababu, kuumwa kichwa mara kwa mara, sasa sijui kama hizo ni dalili direct au ndo kama wanavyosema magonjwa mengine huanzia kwenye psychology.
NAOMBENI USHAURI ILI NIPUNGUZE IZI STRESS ZISIJE NIPELEKA KWENYE DEPRESSION
Sema tatizo naona limeisha sema bado kuna maumivu kwa mbali huwa nayasikia kwa mbali chini ya kitovu maeneo ya kibofu ila muda mwingine yanapotea kabisa, pia nisipokunywa maji kama maumivu yanarudi.
Kiukweli U.T.I sugu usiombe ikupate inatesa sana na kuisha kama kuna muda inapotea na kuna muda inarudi, sasa wasiwasi wangu ni kwamba kama niliweza kuambukizwa U.T.I sugu je sijaambukizwa kweli H.I.V maana natamani kweli nikapime ila nina wasiwasi kweli, na nina stress muda wote najiona kama tayari nimeathirika tayari maana nikijiangalia baadhi ya dalili kama naziona kama kuchoka bila sababu, kuumwa kichwa mara kwa mara, sasa sijui kama hizo ni dalili direct au ndo kama wanavyosema magonjwa mengine huanzia kwenye psychology.
NAOMBENI USHAURI ILI NIPUNGUZE IZI STRESS ZISIJE NIPELEKA KWENYE DEPRESSION