data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,884
Duh.. Inaanzaje anzaje wazee.Hali hii inatusumbua wengi sn.Me pia yani Ingawa sikuwahi waza jiua
Sent using Jamii Forums mobile app
!??
Duh.. Inaanzaje anzaje wazee.Hali hii inatusumbua wengi sn.Me pia yani Ingawa sikuwahi waza jiua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfuate PM mkuu... Usipoteze muda. Go help.
Inawezekanaje mtu aanze tu kulia bila sababu!??Pole mpendwa...hali Kama hiyo hutokea kikubwa ni kutafuta utatuzi wenye afya ili uweze kutoka katika hali hiyo..usifikirie kujitoa uhai bado una thamani Sana..Kama unajisikia kulia lia walau itasaidia kupunguza yaliyo moyoni.
Usomaji namba ndo chanzoHizi kesi zimekuwa nyingi sana esee....sijui tatizo ni nini.
Pole mkuu.
Nini hasa tatizo?
Aisee..... (siku za hivi karibuni) Hii ni kabla au baada ya COVID 19Siku za hivi karibuni najiona ovyo, sina amani ndani ya moyo, muda mwingine najiuliza kwanini nilizaliwa hapa duniani.
Kuna muda machozi yananitoka ndo najihisi angalau mtu.
Nimekuwa mnyonge, hata kazini huwa akili yangu haipo serious, muda mwingine najihisi kuondoa uhai wangu.
Nimekuwa na hasira, muda mwingine huwa natumia lugha mbaya kwa wanaume wanao ni-aproach.
Naombeni ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAFADHALI cutelove SOMA HAPA
Sonona (Depression): Jinsi ya kupambana nayo na kumsaidia mwathirika
Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako
Unatumia nyamaSiku za hivi karibuni najiona ovyo, sina amani ndani ya moyo, muda mwingine najiuliza kwanini nilizaliwa hapa duniani.
Kuna muda machozi yananitoka ndo najihisi angalau mtu.
Nimekuwa mnyonge, hata kazini huwa akili yangu haipo serious, muda mwingine najihisi kuondoa uhai wangu.
Nimekuwa na hasira, muda mwingine huwa natumia lugha mbaya kwa wanaume wanao ni-aproach.
Naombeni ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAFADHALI cutelove SOMA HAPA
Sonona (Depression): Jinsi ya kupambana nayo na kumsaidia mwathirika
Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako
Kapime kiwango cha sumu ulichonacho mwilini.Sumu mwilini sababu ya kula Sana nyama uleta Sana hasira na stressSiku za hivi karibuni najiona ovyo, sina amani ndani ya moyo, muda mwingine najiuliza kwanini nilizaliwa hapa duniani.
Kuna muda machozi yananitoka ndo najihisi angalau mtu.
Nimekuwa mnyonge, hata kazini huwa akili yangu haipo serious, muda mwingine najihisi kuondoa uhai wangu.
Nimekuwa na hasira, muda mwingine huwa natumia lugha mbaya kwa wanaume wanao ni-aproach.
Naombeni ushauri tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAFADHALI cutelove SOMA HAPA
Sonona (Depression): Jinsi ya kupambana nayo na kumsaidia mwathirika
Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako
Tatizo ni stressHizi kesi zimekuwa nyingi sana esee....sijui tatizo ni nini.
Pole mkuu.
Nini hasa tatizo?