Najihisi nina mkosi kwenye mapenzi

Najihisi nina mkosi kwenye mapenzi

Ni sababu moja wapo, pamoja na ile kuona una wategemezi wachache, kama hivyo wazazi wamefariki, unakuwa na extra money endapo unajishughulisha sasa na unaingiza kipato, pole sana vijana wa siku hizi sijui tumekuwaje wengi tunaangalia fursa katika mapenzi
Kazi nafanya kweli ,so nianze kuwa mzembe ili kuepusha hilo manake yaonesha naweza kuja olewa na mwanaume asojishughulisha
 
Kazi nafanya kweli ,so nianze kuwa mzembe ili kuepusha hilo manake yaonesha naweza kuja olewa na mwanaume asojishughulisha
Hapana hilo si suluhisho, maintain siri zako halafu chunguza mawazo ya mtu unayetaka kuwa nae, jipe muda kujianika kwake, mtu hamjaoana ana hukua password yako ya bank si sahihi! Hii ni too much, umejiexpose sana, maintain siri zako.
 
Fursa kwa mabaharia hii... pole ndg kuna muda mapenzi hayaeleweki haswa muda tu utafika utampata mtu sahihi asiye kupiga mizinga[emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
Kwa nini ni ID mpya?kwa uzoefu wa kuona kwa watu n.k inawezekana unachangamoto za kiroho zinazokuletea watu choka mbaya wa kuja kukufilisi,umri unaenda na wewe unahitaji familia na unaowapata wote ni vilaza,jaribu kutembelea watu wako wa imani wanaweza kukuombea hiyo hali ikatoweka.
 
Watamiminika balaa.Me siwezi enda coz dada atakuwa beji 3 huyu.Si Kwa uandishi huu!!!

Am sorry mleta mada.
Waona nawe umenihisi vilevile,mie nimekulia msoto sana
Nimesoma science toka o level
Nilifunzwa kupambana na kujitafutia
Kama Mungu angetaka niwe kama hao maslay queen asingechukua wazaz wangu nikiwa kid
I am who I am because God wanted me to be this way
 
Huu mtego kuna mtu anatafutwa kuna maboya yatanasa huko pm.stuka kimbia!
mimi ni mwanamke wa miaka 27,sijaolewa,Sina mtoto,Sina mpenzi,nimepanga naishi na mdogo want mmoja yuko kidato Cha nne Sasa.

Tatizo langu ni moja tangu nianze kujihusisha na mapenzi napata wanaume ama wapenzi wanaoniomba hela na kutaka mie ndiyo niwahudumie.nina kazi ndio ya kawaida tu ila sijui kumwomba mwanaume hela.

Ni mtoto wa pekee,nilolelewa na wajomba baada ya wazazi kuondoka duniani.nilipitia kipindi kigumu sana wakati nakua na kwenye elimu yangu,hiyo ikanojengea kujiamini na kujitafutia vyangu.sijui kujigamba,sichezei pesa kwa mambo yasiyo ya msingi ila nina roho ya huruma sana.naweza kuwa na milioni hata 5 kwenye akaunti na bado nikapanda daladala ama kula kwa mama ntilie mtaani au kazini.

Mpenzi wa Kwanza alikuwa ananipiga mizinga Sana baada ya kuja kwangu na kuona navyoishi,hatukudumu tukaachana sababu hiyo,kwani hakuwahi nipa hata senti yake ila yeye amenilia hela zangu nyingi.

Wa pili ilikuwa hivyohivyo Kila leo alikuwa anapanga mbinu za kunitoa hela,nikaona isiwe shida nikaachana naye.wa tatu alikuwa ananisema niache kuwapa watu hela ila akishika simu yangu anajifowafia hela toka line yangu ya mpesa,halafu ananikashifu kuwa najidai kuwa na hela wakati sijawahi mweleza hayo,ila alikuwa anachunguza akaunti zangu za mp pesa na benki akanifosi nikampa Hadi pasiwed akawa akihitaj hela anatoa bila kunitaarifu.nikaona isiwe tabu nikaachana naye.

Sahivi yapata mwaka niko singo na nimeamua kutokudate tena manake napata magarasa tu.naombeni ushauri nakosea wapi?kiukweli siwezi kuomba hela na nikiomba kama nina uhotaj nisipopewa basi najikalia kimya tu.
Kwanini wanaume waniombe hela?kasoro yangu ni Nini?na katika wote hao hakuna niliyemtongoza walinotongoza wenyewe.mie sipendi kuomba wala kuombwa hela.naumia sana Kama mwanamke.naona wananitongoza kwa lengo la kunichuna,lakin mbona mie navaa kawaida,nala kawaida,siyo mtu wa starehe,tatizo ni nini?
 
Kwa nini ni ID mpya?kwa uzoefu wa kuona kwa watu n.k inawezekana unachangamoto za kiroho zinazokuletea watu choka mbaya wa kuja kukufilisi,umri unaenda na wewe unahitaji familia na unaowapata wote ni vilaza,jaribu kutembelea watu wako wa imani wanaweza kukuombea hiyo hali ikatoweka.
Hili nalo neno nitalifanyia kazi,asante
 
LOL wataka nizalishwe ili jamii muabnze niita majina mabaya?
mimi naongelea kuzaa hayo ya kuzalishwa ni yako.
Remember 30 is around the corner soon utaanza kuitwa mhenga.
 
Back
Top Bottom