Asante sana mkuu kwa swali lako.
Hii nimeijenga kulingana na fundi bomba alivyoweka hizo bomba zake.
Hapo ukianglia hilo bomba kubwa ni la kutoka chooni, na hilo dogo ni bomba la maji ya kunawa, kwa pembeni yake hapo ndipo zinakutana zote. Sijajua kama umeelewa,
Au angalia hii video yake uelewe zaidi.
Huwa inatokea nahitaji mkuu.
Ila mara nyingi ninao wasaidizi wa karibu ambo huwa natembea nao.
Huwa nahitaji pale ambapo labda wako kwenye kazi zingine .nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.