Najaribu kuwa single ila nashindwa, wenzangu mnawezaje.??

Najaribu kuwa single ila nashindwa, wenzangu mnawezaje.??

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Miongoni mwa faida za kuwa single ni kujipanga kiuchumi, kujijenga kiafya na kutimiza malengo.

Natamani kuwa single hata miaka miwili ili nijipange ila kila nikitoka nje nikikutana na wanawake nahangaika mno.

Nikiona mtu yuko na mpenzi wake Naona wivu najihisi mpweke mno.

Kifupi najihisi mpweke mno
Muda mwingine nipo geto mvua inanyesha daah I wish I niwe nakula mbunyenye ila sitaki.

Wakuu munawezaje?????
Nisaidie tafadhali
 
Miongoni mwa faida za kuwa single ni kujipanga kiuchumi, kujijenga kiafya na kutimiza malengo.

Natamani kuwa single hata miaka miwili ili nijipange ila kila nikitoka nje nikikutana na wanawake nahangaika mno.

Nikiona mtu yuko na mpenzi wake Naona wivu najihisi mpweke mno.

Kifupi najihisi mpweke mno
Muda mwingine nipo geto mvua inanyesha daah I wish I niwe nakula mbunyenye ila sitaki.

Wakuu munawezaje?????
Nisaidie tafadhali
Acha ujinga wewe kula mbususu za hawa kenge watamu balaaaa.
Wewe usisake mapenzi wewe saka ngono utaishi stress free na kibunda utakuwa nacho.
Ila ukisaka mapenzi stress + kibunda kuisha ni uhakika
 
Miongoni mwa faida za kuwa single ni kujipanga kiuchumi, kujijenga kiafya na kutimiza malengo.

Natamani kuwa single hata miaka miwili ili nijipange ila kila nikitoka nje nikikutana na wanawake nahangaika mno.

Nikiona mtu yuko na mpenzi wake Naona wivu najihisi mpweke mno.

Kifupi najihisi mpweke mno
Muda mwingine nipo geto mvua inanyesha daah I wish I niwe nakula mbunyenye ila sitaki.

Wakuu munawezaje?????
Nisaidie tafadhali
Kama mvua ikinyesha Unapata akili ya kutombana basi mafanikio kwako ni ndoto.

Wenzio wanawaza angekua na shamba mimea ingekua inastawi huko shambani wewe Unawaza uchi!

Poor African boy.
 
Ngono ndio zinapotesa pesa mkuu, Mimi siwezi kufanya ngono bila malengo
Pesa zenyewe huna kaka wewe si ndiyo kila uchwao kuomba mbinu za kukwepa mkopo wa boom advance .

Itoshe kusema mapenzi ndiyo faraja yako hivyo endelea kulalana na watoto wenzio wa chuo maana hela huna bwana mdogo
 
Miongoni mwa faida za kuwa single ni kujipanga kiuchumi, kujijenga kiafya na kutimiza malengo.

Natamani kuwa single hata miaka miwili ili nijipange ila kila nikitoka nje nikikutana na wanawake nahangaika mno.

Nikiona mtu yuko na mpenzi wake Naona wivu najihisi mpweke mno.

Kifupi najihisi mpweke mno
Muda mwingine nipo geto mvua inanyesha daah I wish I niwe nakula mbunyenye ila sitaki.

Wakuu munawezaje?????
Nisaidie tafadhali
Lazima ujue unataka nini kijana
 
mkuu ile mixture ya tangawizi na viungo ipoje unaweza kunipa mwongozo wa dozi, you mean no malice to nobody.
I mean no malice to nobody.

tangawizi 1, vitunguu swaumu punje 7, limao 1, twanga tangawizi na kitunguu swaumu pamoja.

Chemsha kwa moto wa kawaida, weka limao yote ikisha chemka, kutwa mara 2-3, 1 week au uwezavyo.
 
Back
Top Bottom