Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Siku nyingine andaa business card
kwenye avatar yako kilichotokeza karibu na mkono hapo ni nini mkuu?Unaishi wapi na mie nihamie uwe unanilipia nauli mkuu?
Mkuu sadaka wakati lengo lako lilikuwa lingine? hakunaga Mungu wala sadaka ya hivyo huyu kakosa vyote pesa na hako ka mboga saba na hpati hizo swawabuHiyo ni sadaka umetoa mkuu, Mungu akuzidishie pale ulipopunguza
HahahaMkuu sadaka wakati lengo lako lilikuwa lingine? hakunaga Mungu wala sadaka ya hivyo huyu kakosa vyote pesa na hako ka mboga saba na hpati hizo swawabu
teh teh teh kama ni hivyo sawaHahaha
Nilikuwa nampa moyo bhana
Hahaha... kwa saut ya Bill Gates Nikasema "Konda kata ya wanne"Kama nakuona ulivyokuwa umesimamia shoo ili hapo kwenye kutoa namba kama sio yeye kuanza kukuomba ya kwako basi ukiomba ajikute mwenyewe tuu ametoa![]()

Hasara tupu utanipa maana huku mwisho wa jiji nauli yenyew buku 2Unaishi wapi na mie nihamie uwe unanilipia nauli mkuu?
Dah.. Mkuu hili suala ndio nilikua nalifikiria kwa kwelii sasa naanza rasmi kulishughulikiaSiku nyingine andaa business card
HhhhaahahahhhhhhhaaahahaWakuu Sikukuu mwenzenu nishaianza vibaya...
Nimepanda na kabinti kamoja kazuri ndani ya Hiace moja inayoelekea nje kidogo ya jiji hili. Tupo sisi na Dereva wetu mbele ya gari, haka kabinti nikakalia ubuyu maana mimi sipendagi kumshobokea demu (NOTE: demu ukimshobokea @ Day one atakusumbua kukupa Ny*chi)
Bahati nzuri kakaanza kenyewe...
Binti: kaka hivi huku "kaburi la mzungu" (sio jina halisi) kwa nini pameitwa hivyo? ...Jamani mimi sijawai fika huku mimi mwisho wangu kule "Airpot"... blah blah blah
Nikagundua(from stories tulizokua tunazinyuka) haka kaMsupa ndio walee watoto wa "milioni 8 pesa ya mboga kwa siku moja tu". Basi nikasema nyota ya jaa si ndio hii.
Timing yangu ilikua tukifika mwisho wa gari ndio mzee ntaomba zile digits 10 za kuwasiliana nae. Dah asee tukiwa tunakaribia kufika mwisho vimebaki kama vituo viwili rafiki zake waliokaa nyuma ya gari (ambaye mmoja ndio alikuwa mwenyej wake) wakashuka na kumwambia yeye aliekaa mbele "Aaliyah Tumefika Shuka"...
Mzee nikapewa "byeeee" ...Doooo
Isitoshe nilisimamia show ya nauli ya watu wote wa 4
Jamanii "Roho Inaniumaa Mieeee"--- in voice of ft Christian Bella ( Fid q- Roho )![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaaha... Mkuu Ndio Tumeumbwa Hivyo!wanaume tuna matatizo sio bure.. juzi kati nilikuwa nasafiri sasa kwenye lile bus window seat zote zikawa covered na aisle seat ndio zilikuwa wazi. Sasa pembeni yangu kuna dame amekaa kwenye window seat kufika mbele kidogo akachafukwa na tumbo akatapika sana kwenye ile aisle seat. Tumefika mikumi kuna jamaa akapanda akaacha seat zote kuanzia mbele akaja kukaa kwenye seat yenye matapishi kisa kakaa dame mzuri!! kwakweli wanaume tuna problem kwenye source code ya uumbaji wetu tumuombe Mungu aipitie upya code inayooperate kwenye miili yetu.
Mkuu si nimekuambia yeye mwenyewe alikua hajui wapi anaendaSasa ulishindwa kuulia hata anashuka kituo gani?
Dah niliwaza hivi mkuu... sema Dah × 1817722Ungefika mbele ungerud kile kituo usubr mpk uwaone, lazma watarud kwa njia hio labda watekwe

Hahahhaahahaha.... Umewaza mbalii sana Mkuusoon mwendo kasi itajengwa huko phase 3 so ukikutana nae kwenye bus huna haja ya kuwaza kuhusu nauli
Mkuu si nimekuambia yeye mwenyewe alikua hajui wapi anaenda