Natumia sumsung garax
hapo add new andika "halotel internet" then chini yake "internet" save then kwisha habariNenda kwenye setting na add apn account na kila kitu kitakuwa poa. Kama ni Android >setting >connection/Internet/wireless & network />more setting >mobile networks>access point names(APN)>option>add new>save>flight mode on>flight mode off> switch on your mobile data n you are good to go
Fuata mishale.
Hata hiyo Samsung Gallaxy uliyotaja nayo itagoma tu kushika internet. Labda kama itakuwa ni Samsung Galaxy.Sio mchezo... hiyo Sumsung garax, kali sana....
Ndio maana haishiki internet...!!
Kanunue Samsung Gallaxy..!!
Tena hawa halotel WANA huduma yao inaitwa CUG ambayo unaweza waunga watu kibao na kuongea bure kwa mwezi mzima kwa sh. 2500 tu! Kwa kila line na hakuna limitation ktk kuongea!!!!Nimeamua kuanzia Leo Mimi Na familia yangu kuhama Mtandao wa Vodacom Na kuzitupa Line zetu ili tujiunge Na Mtandao Rafiki wa Halotel.Mtandao wa Voda umekuwa Gharama sana Na sio Rafiki kwani umeshusha ukubwa wa vifurushi vyake lakini bei in ile ile hali ambayo imetuumiza sana wadau.Nachukua fursa kuwaaga marafiki, maadui Na wale wapiga debe wenzangu pale Lumumba Na kuwambia kuwa nimehama rasmi Na CCM nakuwa Mchungaji.
Tena hawa halotel WANA huduma yao inaitwa CUG ambayo unaweza waunga watu kibao na kuongea bure kwa mwezi mzima kwa sh. 2500 tu! Kwa kila line na hakuna limitation ktk kuongea!!!!
Ww unaunda group la watu uwatakso but kila line ya hao uliyowaunga inatakiwa uilipie hio 2500 kwa mwez.kwa hio mtakua mnapigiana wa group tu na c namba ili nje ya group.Duuuhh.. ebu elezea in details tunaomba.. 2500 kwa mwezi unaongea na watu kibao hadi line za kampuni nyingine..? Mmhh..!!
Umeonaeee?! [emoji79] [emoji79] [emoji79] [emoji79]msije wengi watapandisha na hawa
Ni settting mkuu halo ukiweka line lazma ufanye setting wapigie wakuelewesheMkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Simu yako inahitaji wap settingMkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Fanya setting ya APN mwenyewe.Mkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Nimejaribu bado inaataa nitawaona halotel wenyewe tuFanya setting ya APN mwenyewe.
Ww unaunda group la watu uwatakso but kila line ya hao uliyowaunga inatakiwa uilipie hio 2500 kwa mwez.kwa hio mtakua mnapigiana wa group tu na c namba ili nje ya group.
Siyo haishiki internet! Bi suala la setting mkuu. Nitafute hata inbox nikuelekeze namna ya kufanya settings zake.unatumia simu gani mkuu?