Naitupa rasmi laini ya Voda na kuhamia Halotel

Naitupa rasmi laini ya Voda na kuhamia Halotel

mwembemdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
2,282
Reaction score
1,253
Nimeamua kuanzia Leo Mimi Na familia yangu kuhama Mtandao wa Vodacom Na kuzitupa Line zetu ili tujiunge Na Mtandao Rafiki wa Halotel.Mtandao wa Voda umekuwa Gharama sana Na sio Rafiki kwani umeshusha ukubwa wa vifurushi vyake lakini bei in ile ile hali ambayo imetuumiza sana wadau.Nachukua fursa kuwaaga marafiki, maadui Na wale wapiga debe wenzangu pale Lumumba Na kuwambia kuwa nimehama rasmi Na CCM nakuwa Mchungaji.
 
Nimeamua kuanzia Leo Mimi Na familia yangu kuhama Mtandao wa Vodacom Na kuzitupa Line zetu ili tujiunge Na Mtandao Rafiki wa Halotel.Mtandao wa Voda umekuwa Gharama sana Na sio Rafiki kwani umeshusha ukubwa wa vifurushi vyake lakini bei in ile ile hali ambayo imetuumiza sana wadau.Nachukua fursa kuwaaga marafiki, maadui Na wale wapiga debe wenzangu pale Lumumba Na kuwambia kuwa nimehama rasmi Na CCM nakuwa Mchungaji.
Mkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
 
Mkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
Nenda kwenye setting na add apn account na kila kitu kitakuwa poa. Kama ni Android >setting >connection/Internet/wireless & network />more setting >mobile networks>access point names(APN)>option>add new>save>flight mode on>flight mode off> switch on your mobile data n you are good to go


Fuata mishale.
 
Mkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
unapaswa kuiset
 
voda airtel na tigo ni majanga sasa utamu upo Halotel na zantel ndo hawajapunguza Mb kabisa sjui kwasababu wateja wao ni kidogo ndomana wamepewa amri na tcra wafanye hivo
 
usisahau kununua luku kwa kutumia halotel
 
Halotel ndio mpango mzima hao voda na tigo ndio nimewasahau kabisa
 
Nimeamua kuanzia Leo Mimi Na familia yangu kuhama Mtandao wa Vodacom Na kuzitupa Line zetu ili tujiunge Na Mtandao Rafiki wa Halotel.Mtandao wa Voda umekuwa Gharama sana Na sio Rafiki kwani umeshusha ukubwa wa vifurushi vyake lakini bei in ile ile hali ambayo imetuumiza sana wadau.Nachukua fursa kuwaaga marafiki, maadui Na wale wapiga debe wenzangu pale Lumumba Na kuwambia kuwa nimehama rasmi Na CCM nakuwa Mchungaji.

Nimependa hapo zaidi...
Hallelujah [emoji122]
 
usiache mbachao kwa msala upitao.
 
Nenda kwenye setting na add apn account na kila kitu kitakuwa poa. Kama ni Android >setting >connection/Internet/wireless & network />more setting >mobile networks>access point names(APN)>option>add new>save>flight mode on>flight mode off> switch on your mobile data n you are good to go


Fuata mishale.
Asante
 
Mkuu mi voda siwapendi ningekuwa niliashatupa line na nimenunua line ya halotel, tatizo ni kwamba sim yangu nikiweka line ya halotel haishiki internet. Msaada please ili nitupe line ya voda rasmi
unatumia simu gani mkuu?
 
Back
Top Bottom