Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 351
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.