Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
kwani harusi lazima iwe na sherehe?kisa cha kujitia madeni?jikune unapojifikia bana...
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Wakusamehe bure. Yani mkopaji, mpanga riba, muda wa kurudisha ni wewe mwenyewe basi jikopeshe mwenyewe.Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali. Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Mkuu umenichekesha sana yani mtu akukopeshe 2mil. kwa faida ya 716,666.67 ndani ya miaka 4 kasoro? Wakati hiyo hela nikiizungusha ndani ya wiki moja napata hiyo faida hapo juu.Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali. Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Mkuu usicomplicate maisha, kwa nini uchukue mkopo kugharamia harusi?? Chukua mkopo kwa jambo la investiment,nilishawahi kuhudhuria harusi ambayo budget ilikuwa elfu sabini. Maisha ni magumu kwa sasa,ndoa ni jambo jema halitakiwi kukutia stress wala kukuachia madeni utakayolipa for years... Huo ni ushauri wangu,u can take it or leave it.
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Wakusamehe bure. Yani mkopaji, mpanga riba, muda wa kurudisha ni wewe mwenyewe basi jikopeshe mwenyewe.
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
unaoa mke au unaoa sherehe??
mkuu, hebu achana na huo upuuzi wa harusi za kifahari... unahitaji pesa kwa mambo mengine sio harusi
Bado ni -----.... Ukiona unakopa ili uoe ujue hauko tayarilooh mil 2 ni harusi ya kifahari kwa pesa yetu hii mkuu mil 2 ni kitu gani kwa miaka hii? kumbuka amesema "Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi"
Bado ni -----.... Ukiona unakopa ili uoe ujue hauko tayari
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Ina maana hajawahi kuchangia harusi yoyote? Ukipata watu 40 wakatoa 50,000 utapata 2,000,000/=. Watu 80 @ 25,000/=.
looh mil 2 ni harusi ya kifahari kwa pesa yetu hii mkuu mil 2 ni kitu gani kwa miaka hii? kumbuka amesema "Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi"
Nimejaribu kufuatilia bank zetu hapa bongo nikagundua awana utaratibu wa kukopesha mtu agharamie gharama za sehemu ya arusi yake tofauti na Bank za kenya. Umri unanitupa, kila siku afadhali ya jana, conection ya maana sina. Naitaji kiasi cha shilingi milioni mbili kwa marejesho ya shilingi elfu hamsini kwa mwezi kwa muda wa miaka 3 na miezi 7. Riba iwe 10%. Yeyote aliyebarikiwa anikopeshe tafadhali.
Pesa hii ni ya kulipa mahari, kupage, gharama za kwangu na bibi arusi.
Sijaweka NDIYO habari ya mujini.Haya mambo ya kuchangishana na kufuatana nyuma watu ndio hawayataki. Maana ushaweka kiwango eti 50,000!'
mkuu unamshauri akakope kwa ajili ya Harusi? Itamsaidia nini zaidi ya kuleta machungu baada ya harusi,akope kwa ajili ya mambo mengine bwana,raha ya ndoa siyo siku ile mnavopigiwa matarumbeta iala ni jinsi mnavoweza ishi kwa upendo kila siku hadi kupelekea watu kutamani kuishi kama unavoishi na mkeondg zangu huyu mwenzenu anashida 2napaswa kumsaidi, mimi decemba nilifunga haruc ,cikuwa na chochote na nafanya kz kwa mshahara wa laki 28o nikapata mkopo wa million 2.5 kwa kurejesha elf90 kila mwez na nikitoa hz hela kwenye mshahar wangu bado naendelea kusafaiv na wife nae anafanya kazi kipato chake hicho hicho na maisha yanaenda usikate tamaa we kopa ila angali cehemu ambao auna riba kubwa