Naitaji girlfriend mwaminifu

Zingatia maoni ya waungwana but feedback ni mhimu kubwa zaidi ukipata usitoroshe na wana jamvi siku ya menu tualikwe
 
Ongeza details Mkuu! eg!!

Kazi yako: Ili upate mtu wa type yako financially!

Hobbie: Msije shindana it two to three months!

Likes/Dislikes:

Af siku iz wanauliza unatumia mda gan kwa round 1!dnt 4get bout tat!!

Colour/Height yako: At least apate picha akilini kwake ukoje!

ATM card unayotumia:

Gari unayotumia:

Hata mtaa uliopanga:

Dnt 4get hawa wadada wanapenda mtu mwenye future plans nzuri na za mafanikio!!weka hata kama ni za uongo!!

Mail sio active sana bana!!weka namba na facebook ac yako wakuone sura!!

Ukiweka hayo, Hakyanani itabidi ufanye interview au uitishe shindano la uMiss na Majaji tupate vibarua
Ni hayo tu!

Nawasilisha
 
mkuu toa cv lakini uwe makini unaweza kuzoa hata kutoaka kaumba maana wanwake siku hizi wakwenye mtandao ni balaa nakushauri ina maana katika maisha yako hujauno msichana wa karibu mpaka utafute kwenye mtandao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom