Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
- Thread starter
- #41
kazi si lazima kufanya kwa muhindi tu vijana wasomi wanaweza kujiunga nchi hii ina rasilimali ardhi kubwa wakaitumia kupata mikopo kwenye mabenki. Vijana ambao hawakwenda shule wamejikomboa sana wana bodaboda ,wamejiunga vikoba wanafanya biashara ndogondogo na maisha yanasonga mbele. Tatizo vijana wasomi wanataka mafanikio ya haraka bila kuumiza kichwa mwisho wana baki kuichukia serikali na kuwa na imani upinzani ukishika serikali ajira zitatolewa kama njugu.
umesema vema mkuu,but lets think beyond evening.hicho ndicho wewe na hao wanasiasa wenzako mnataka kutuaminisha.mbona watoto wao hawajiungi na hivyo vikundi vya vikoba?walikuja na sera za kilimo kwanza,wakaleta matrekata,yanakopesheka?huo uwezo wa trekta upo?mbona mnataka tudanganyane?eti ardhi ipo etc etc mbona nyie hamlimi?hivi mnadhani mnaweza kutupumbaza eti kilimo,vijana wajiunge na vikundi etc etc,hivi unadhani maisha ni kupata hela ya kula tu?kwamba isitokee hata siku moja maishani mwangu na mimi niende kula bata kwenye beach za kopa kabana?mnataka mimi ndo nilime ili niendelee kuwa maskini?mbona watoto wenu wengine tumesoma nao,kichwani weupeeee,hata ufaulu wao ulikuwa shida lakini hawaendi kulima wala kujiunga kwenye vikoba?mnadhani sisi ni wa pumbav*kiasi hicho?