bagabe
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 540
- 670
- Thread starter
- #21
Hilo jambo la kukuta anachat na mwanaume mwingine nalo ni kitu kingine,najua unajaribu kulipotezea ila ukiona tu jambo linafanana na lile moyo unakufa ganzi.Ushauri wangu ni kuwa tafuta mwanamke mwingine uoe,hilo jambo la kukaa nae tu bila ndoa linamfanya aanze kufikiri ndoa nawatu wengine...
Lakini nimezaa nae mkuu watoto wanne bahati mbaya tu ilitokea.