Lukaku marata
JF-Expert Member
- Dec 4, 2019
- 448
- 748
- Thread starter
- #21
Wachache sana wenye mawazo kama haya, huyu bwana angeonekana wa maana sana kama angeenda kuongea aliyoongea hapa na waajiri wake na akajaribu kuonyesha mapungufu, na kutoa ushauri wake wa namna ya kupata faida. Hata kama mawazo yako yatatupwa, lakini nia yako njema itakumbukwa na hata wakifunga watakupa nafasi wewe.
Nilishawahi kujaribu kutoa ushauri na namna bora ya kufanya kutokana na uwezo wangu ili tuanze kupata faida ila maboss hata hawana time