Naishi lakini nina hofu

Lukaku marata

JF-Expert Member
Dec 4, 2019
448
748
Habarini za humu wanajamii,hapa nimefikiria nikaona hebu nije kuomba ushauri au mawazo katika hili.

Ninafanya kazi kwenye company moja hapa mjini kwa takribani miaka miwili hivi toka nimalize elimu yangu ya juu cha kushangaza ile company toka naingia ilikuwa ni startup yaani ndo inaanza ila toka ianze na mimi hadi leo mshahara napokea vizuri tu kila mwezi kama 800k hivi per month, ila cha kushangaza tokea company ianze mpaka leo haijawahi rudisha hela iliyokuwa wanainvest shortly haiingizi faida toka ianze.

Nimepanga na mtoto mmoja ila nina hofu siku ikifungwa sijui itakuwaje na ajira zilivyongumu hivi nimejaribu vibiashara hata haviendi yaani full stress sijui hata niseme vipi
 
Boraa wewe unasehemu angalau ya kupata chochote.

Wengine graduates wanastress hata sehemu ya kupata buku kwa siku mtihani,bro save as you can.Wengine wakipata hio chance hawafanyi makosa..."Remember 99% of things we worry about never happen".
 
Boraa wewe unasehemu angalau ya kupata chochote.
Wengine graduates wanastress hata sehemu ya kupata buku kwa siku mtihani,bro save as you can.Wengine wakipata hio chance hawafanyi makosa..."Remember 99% of things we worry about never happen".
Angejua asingelalamika mkuu
 
Boraa wewe unasehemu angalau ya kupata chochote.
Wengine graduates wanastress hata sehemu ya kupata buku kwa siku mtihani,bro save as you can.Wengine wakipata hio chance hawafanyi makosa..."Remember 99% of things we worry about never happen".

I try to save but what i am worrying about siku company ikifungwa sijui itakuwaje
 
Ila watu bwana hamuwezi hata kushukuru Mungu nikujilalamisha tu muda wote?hela wanazo kulipa ww wanazipata wap?km unalipwa kika mwezi ujue kampuni inachanzo cha mapato kingine ambacho hukijui.na si lazima ufanye kazi uliyo somea.
 
I try to save but what i am worrying about siku company ikifungwa sijui itakuwaje
ni dhahiri kabisa huna elimu ya fedha kama mamilioni ya watz wengi wakiwemo hata mawaziri wanaotuongezea matozo kila siku.

soma vitabu vya rich man in babilon na richdad poor dad, vitakupa msingi wa elimu ya fedha,

haijalishi una masters ya finance, degree ya uwekezaji, cpa, n.k kama hujasoma hivyo vitabu ni sawa na bure tu.

kwa wenzetu huko india, ulaya, mtoto mdogo kabisa hivi vitabu ashaviingiza kichwani,

ujinga wa kutokuwa na elimu ya fedha umegharimu wengi sana kuanzia wafanyakazi wanaolipwa vizuri, wanamichezo na wasanii wa juu, n.k.

bila kuwa na elimu hii tena kwa huo uoga wako, jiandae tu kisaikolojia siku wakifnga
 
Habarini za humu wanajamii,hapa nimefikiria nikaona hebu nije kuomba ushauri au mawazo katika hili.
Ninafanya kazi kwenye company moja hapa mjini kwa takribani miaka miwili hivi toka nimalize elimu yangu ya juu cha kushangaza ile company toka...
Hahaha.... Samahani sikucheki ila nashangaaaa!

Nastaajabu!

Lazima Ujue kuwa wewe upo hapo ktk upendo wa Mungu.. Una ajira, una Afya, una cheti, una elimu una mtoto...nk nknk.

Sasa hofu na presha za nini?

FYI, wewe uko bora kuliko mamilioni ya watu.

Shukuru Mola kwa neema hizo.... acha kufuru!!
 
Umechukua juhudi gani ktk nafasi uliyonayo hapo kwenye hiyo company ili ipate faida na iendelee ku exist?
Unawasaidiaje owners ili wafikie Malengo yao?

Wachache sana wenye mawazo kama haya, huyu bwana angeonekana wa maana sana kama angeenda kuongea aliyoongea hapa na waajiri wake na akajaribu kuonyesha mapungufu, na kutoa ushauri wake wa namna ya kupata faida. Hata kama mawazo yako yatatupwa, lakini nia yako njema itakumbukwa na hata wakifunga watakupa nafasi wewe.
 
Hahaha.... Samahani sikucheki ila nashangaaaa!!
Nastaajabu !!
Lazima Ujue kuwa wewe hapo ktk upendo wa Mungu.. Una ajira, una Afya, una chetu, una elimu nk nknk..
Sasa hofu na presha za nini???
FYI, wewe uko bora kuliko mamilioni ya watu..
Shukuru Mola kwa neema hizo.... acha kufuru!!

Kweli mkuu,ila hali inaogopesha
 
Tafuta kazi nyingine mapema sana kabla hiyo laki nane haijapasuliwa kuja laki 4. Halafu ukiona sehemu unayo fanyia kazi sehem ya kuegesha magari hakuna, au ipo na hakuna magari bro hama hapo, ni njaa kali
Huna tofauti ba malaya yaani wauza miili, hao huangalia mwenye nacho.
Mshauri awe mbunifu ili kampuni iongeze mapato na sio kukimbia.
 
Back
Top Bottom