Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,104
Hilo jambo unalozungumzia halipo ktk kamusi yetu wTZ..Umeonge point sana bro......tunafikiria matumbo yetu zaidi.......mshahara anapata but ana hofu ya kampuni kufariki...why asiingie front kujua kinagaubaga....ili kuongeza ufanisi mapato yaongezeke na mshahara upand...anakimbili JF kuonyesha uoga na udhaifu alio nao.....
Lukaku marata " soma hapo juu na tuchukue hatuwa ya kusaka au protect Co.yako.."
huo ni mti unaokupa kivuli na matunda ya maisha... jitume/pambana/wasaidie.. usiogope usibebe hofu bure!!