Kunayo moja niliiona mwaka jana au juzi siyo hiyo kweli?Lucha hio habari ni very recent na ya kweli kuna video iko viral sana huko Nairobi mzungu kachezea sana kichapo
Hapo si Nairibi ni nchini RSA. Acha urongo.Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.
Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.
Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha
Balaa tupu
Wadiz
Ni video ya miaka 5 nyuma sjui yeye kaiona leoHiyo video kitambo sana zaidi ya miaka miwili kama sio 3
Sasa wewe hii habari umeitoa wapi?Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.
Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.
Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha
Balaa tupu
Wadiz
Kuna video inasambaa ikionyesha mzungu akipigwa kwenye kituo cha mafuta ''Kenya''. Hii video ipo tangu mwaka 2020 na tukio lilisemwa kutokea South Africa.Shalom,
Tafadhari mwenye video popote alipo aiweke hapa, kuna kichapo Cha mbwa Koko mzungu mwenye matusi ya kutia watu Nyani amekipata, Nairobi ilijaa kizaa zaa baada ya mzungu kupata kichapo huku ikionekana huyu mzungu ni Baharia wa kugaurd ila bahati mbaya alizidiwa na ukubwa na uzito wa fimbo kubwa kubwa, kisha katika purukushani alikanyangwa mguu na gari aliokuwa amepanda.
Ni kweli hili ni funzo ila sio kwa namna ilivyotendeka inaumiza sana sana.
Nairobi ni noma sana bonge la kipigo ila yule mzungu inaonekana sio mtu wa kawaida amefanya guard za kutosha
Balaa tupu
Wadiz