Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,647
- 12,358
Jaribio lenu limeshindwa vibaya,mmemkosa kwa risasi,na muhimbili hakwenda mkammalizie.Angewahishwa Muhimbili yetu, na baadaye kama kungekuwa na haja wangemuhamishia India!
Mmebaki na kuzuia malipo ya matibabu,nayo kachangiwa na wasamaria wema.
Mungu atawanyoosha na vizazi vyenu.