Nairobi Hospital ni aghali mara 2 ya India!

Nairobi Hospital ni aghali mara 2 ya India!

Si wameambiwa waandike barua kwa sababu wako nje ya procedures ili walipiwe wamekataa
CCM ni wauwaji, kwa nature ya tukio wala longolongo hazikutakiwa, ila mjue wakati mnapanga Mungu naye anapanga.
 
CCM ni wauwaji, kwa nature ya tukio wala longolongo hazikutakiwa, ila mjue wakati mnapanga Mungu naye anapanga.
Kufuata Sheria ni longolongo? Kwanini wasiandike Barua wakapata huduma?
 
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga Serikali yangu kulipia gharama za Matibabu Nairobi hospital, kwani kuna utaratibu wa Mtanzania kulipiwa gharama za matibabu nje ya nchi, na huu utaratibu Tundu Lisu na wanaomuuguza hawakutaka kuufwata, hivyo siyo kosa letu na wala Watanzania hatuna jukumu la kumuuguza, hivyo ukiniuliza mimi hata wakimsusia matibabu kwa kukosa hela hapo Nairobi Hospital, sawa tu, siyo shida yetu, ...
Kwani serikali ndiyo inayolipa gharama za hospitali za Lisu?
 
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga Serikali yangu kulipia gharama za Matibabu Nairobi hospital, kwani kuna utaratibu wa Mtanzania kulipiwa gharama za matibabu nje ya nchi, na huu utaratibu Tundu Lisu na wanaomuuguza hawakutaka kuufwata, hivyo siyo kosa letu na wala Watanzania hatuna jukumu la kumuuguza, hivyo ukiniuliza mimi hata wakimsusia matibabu kwa kukosa hela hapo Nairobi Hospital, sawa tu, siyo shida yetu, ...
Aisee
 
Angewahishwa Muhimbili yetu, na baadaye kama kungekuwa na haja wangemuhamishia India!
Muhimbili ni funga kazi maana hawachelewi kusema vitendea kazi haifanyi kazi mpaka tuagizie Ulaya ndiyo tuanze tiba
 
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117] Em leta mada za kutengeneza batiki hata mungu atakubariki. Si kwa uhasidi huo.
 
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga Serikali yangu kulipia gharama za Matibabu Nairobi hospital, kwani kuna utaratibu wa Mtanzania kulipiwa gharama za matibabu nje ya nchi, na huu utaratibu Tundu Lisu na wanaomuuguza hawakutaka kuufwata, hivyo siyo kosa letu na wala Watanzania hatuna jukumu la kumuuguza, hivyo ukiniuliza mimi hata wakimsusia matibabu kwa kukosa hela hapo Nairobi Hospital, sawa tu, siyo shida yetu, ...

Leo naona angalau umekuwa na “imani” na adha ya matibabu inayompata “msaliti” Lissu. Mwanzoni ulikuwa ukipinga asitibiwe kabisa kwa “usaliti” aliolitendea taifa. Leo tatizo lako ni utaratibu uliotumika na gharama kubwa za hospitali? Ingekuwa India ungeridhia? Tahadhari; achana na mada za Lissu - zinaweza kukuhamishia wazimu bure.
 
Useless comments wewe ulitegemea hali aliyokuwa nayo Tundu Lissu angefika India. Tuwashukuru sana Nairobi Hospital kwa juhudi walizofanya kuokoa maisha ya Tundu Lissu...
Naamini serikali ya Rais Magufuli itatoa msaada wa kumsaidia Tundu Lissu.
 
Back
Top Bottom