johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Siasa ni Sayansi na Maarifa
Tukumbushane tu ni Wanaccm wawili tu waliojitosa kumjulia hali Tundu Lisu akiwa mahututi Hospital kule Nairobi Kenya
Ni Makamu wa Rais wa wakati ambaye sasa ni Rais wa JMT Mpendwa wetu Dr Samia
Na Rais wa awamu ya 2 mzee Mwinyi
Asiwadanganye mtu Hakuna Upendo mkubwa kama huu, Yesu alisema Wapendeni adui zenu Watendeeni vema wanaowaudhi.
Upinzani siyo Uadui lakini Kwenye issue ya Lisu uligeuka Uadui kwani hakuna Mbunge yoyote wala Kiongozi wa Bunge kutoka CCM waliomtembelea Lisu ukiondoa yule Turki wa Zanzibar aliyemkodia Ndege na Dr Mwigullu PhD aliyeshiriki kumbeba wakati wa kumpandisha Kwenye Ndege
Hivyo Kwenye Uchaguzi mkuu 2025 Wananchi wataweka Itikadi pembeni na kumchagua Mama mlezi Asiyebagua
Jumaa kareem!
Tukumbushane tu ni Wanaccm wawili tu waliojitosa kumjulia hali Tundu Lisu akiwa mahututi Hospital kule Nairobi Kenya
Ni Makamu wa Rais wa wakati ambaye sasa ni Rais wa JMT Mpendwa wetu Dr Samia
Na Rais wa awamu ya 2 mzee Mwinyi
Asiwadanganye mtu Hakuna Upendo mkubwa kama huu, Yesu alisema Wapendeni adui zenu Watendeeni vema wanaowaudhi.
Upinzani siyo Uadui lakini Kwenye issue ya Lisu uligeuka Uadui kwani hakuna Mbunge yoyote wala Kiongozi wa Bunge kutoka CCM waliomtembelea Lisu ukiondoa yule Turki wa Zanzibar aliyemkodia Ndege na Dr Mwigullu PhD aliyeshiriki kumbeba wakati wa kumpandisha Kwenye Ndege
Hivyo Kwenye Uchaguzi mkuu 2025 Wananchi wataweka Itikadi pembeni na kumchagua Mama mlezi Asiyebagua
Jumaa kareem!