Nairobi Hospital ni aghali mara 2 ya India!

Nairobi Hospital ni aghali mara 2 ya India!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga Serikali yangu kulipia gharama za Matibabu Nairobi hospital, kwani kuna utaratibu wa Mtanzania kulipiwa gharama za matibabu nje ya nchi, na huu utaratibu Tundu Lisu na wanaomuuguza hawakutaka kuufwata, hivyo siyo kosa letu na wala Watanzania hatuna jukumu la kumuuguza, hivyo ukiniuliza mimi hata wakimsusia matibabu kwa kukosa hela hapo Nairobi Hospital, sawa tu, siyo shida yetu, ...
 
Mbona sababu inaeleweka kwanini hamtaki kulipa, mission imefail sasa mnamalizia hasila zenu kwenye malipo ya matibabu.
 
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga Serikali yangu kulipia gharama za Matibabu Nairobi hospital, kwani kuna utaratibu wa Mtanzania kulipiwa gharama za matibabu nje ya nchi, na huu utaratibu Tundu Lisu na wanaomuuguza hawakutaka kuufwata, hivyo siyo kosa letu na wala Watanzania hatuna jukumu la kumuuguza, hivyo ukiniuliza mimi hata wakimsusia matibabu kwa kukosa hela hapo Nairobi Hospital, sawa tu, siyo shida yetu, ...
Tumia akili kidogo Mkuu. Huko India angefika siku ile kutoka Dodoma?
Bila kuwahi Nairobi, mauaji angekuwa anasherehekea na kuua wengine.
Ni kweli gharama ya Aga Khan ni kubwa. Thamani ya maisha ni kubwa kuliko pesa zote hizo
 
Tumia akili kidogo Mkuu. Huko India angefika siku ile kutoka Dodoma?
Bila kuwahi Nairobi, mauaji angekuwa anasherehekea na kuua wengine.


Angewahishwa Muhimbili yetu, na baadaye kama kungekuwa na haja wangemuhamishia India!
 
Angewahishwa Muhimbili yetu, na baadaye kama kungekuwa na haja wangemuhamishia India!
Hapo Muhimbili leo ingekuwa story tofauti. Mauaji kwanza alidhani asingekuwa. Secondly, kama ange survive angamalizwa Muhimbili. Siku yake ilikuwa bado. Kubali hilo
 
Hapo Muhimbili leo ingekuwa story tofauti. Mauaji kwanza alidhani asingekuwa. Secondly, kama ange survive angamalizwa Muhimbili. Siku yake ilikuwa bado. Kubali hilo


Sasa kama mnaamini hivyo kwamba Serikali yetu ndo iliyotaka kumuua, kwa nini mnaitaka Serikali yetu imtibu? Kwa nini mnaiomba tena hela, kwa hali ya kawaida muuwaji hata fedha yake inapaswa kuwa haramu, sasa kelele zote za nini?
 
aisee suala LA uhai na ubinadamu halina mbadala!! bora atibiwe apone mengine baadae!!
 
Sasa kama mnaamini hivyo kwamba Serikali yetu ndo iliyotaka kumuua, kwa nini mnaitaka Serikali yetu imtibu? Kwa nini mnaiomba tena hela, kwa hali ya kawaida muuwaji hata fedha yake inapaswa kuwa haramu, sasa kelele zote za nini?
Kukatalia fedha kunaonyesha nia ya Serikali. After all, ni haki yake. Atapona bila hela ya Serikali.
 
Mbona sababu inaeleweka kwanini hamtaki kulipa, mission imefail sasa mnamalizia hasila zenu kwenye malipo ya matibabu.
Si wameambiwa waandike barua kwa sababu wako nje ya procedures ili walipiwe wamekataa
 
Back
Top Bottom