Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,240
Guys windows 10 is out, nimweshadownload na nimeshaupdate simu yangu.
Ina muonekano mzuri ila still wameniangusha sehemu moja. Haina option ya kulock network.
Mengine ngoja tutumietumie may be yataibuka.
unatumia simu gani? kwenye insider kulock 3g ipo maybe watarelease patch
Ni official. Jana mida ya jioni saa nilipata notification ikinitaka niupdate. Bila ajizi nikaupdate,
620 nafikiri ni batch ya mwisho, walionunua simu za karibuni ndio wanaanzaImekaa poa sana. Imenivutia hiyo. Sijui 620 itapata lini hiyo kitu
simu ya zamani sana hata os yake ya zamani itategemea unaipata kwa sh ngapi na unataka uifanyie niniMKUU vipi lgP769 ubora wake ni mzuri?
Kwa ajili ya kuchati na kucheza magemu MKUU niko nayo hapa ila nikiitumia kwa mda mrefu (MASAA3)inapata inapata moto sijui nini tatizo MKUU CHIF.simu ya zamani sana hata os yake ya zamani itategemea unaipata kwa sh ngapi na unataka uifanyie nini
Nataka nunua kwa laki mojasimu ya zamani sana hata os yake ya zamani itategemea unaipata kwa sh ngapi na unataka uifanyie nini
hio simu haiwezi kuhandle games kubwa, na kupata moto inategemea ulikua unafanya nini kila simu inapata motoKwa ajili ya kuchati na kucheza magemu MKUU niko nayo hapa ila nikiitumia kwa mda mrefu (MASAA3)inapata inapata moto sijui nini tatizo MKUU CHIF.
Nachat na kuperuz tu JF,whatsap,fb basihio simu haiwezi kuhandle games kubwa, na kupata moto inategemea ulikua unafanya nini kila simu inapata moto
kwa bei hii sio mbayaNataka nunua kwa laki moja
Asante Mkuukwa bei hii sio mbaya
unatumia simu gani? kwenye insider kulock 3g ipo maybe watarelease patch
Poa kaka kwa maelezo...me natumia Lumia 625 acha tu niisuburi nna hamu nayo kweli sijui lini ntaipata,naogopa kuichukulia windows insider sina ujanja sana wakucheza na haya madude.Ni official. Jana mida ya jioni saa nilipata notification ikinitaka niupdate. Bila ajizi nikaupdate,
pengine wameongeza background task nyingi, am not sure kama win 10 utatumia same procedure ila kwa wp ukienda kwenye app ya battery utaweza kumanage background task na kuvifungia vitu ambavyo hutaki vifanye kazi chini kwa chiniIla dah, inaonekana hii WP 10 os inatafuna sana chaji. Maana consumption yake imekuwa kubwa tofauti na ilivtokuwa katika WP 8.
sijui wanafkiria nini microsoft lakini so far simu zote zinazoishiwa na 50 hazimake sense.
ni aibu simu za series ya 20 zikiwa na power kuliko za 50 hasa ukiangalia kwamba zina gape ya miaka karibu 4.
lumia 520, 620 na 720 zote zilikuwa na adreno 305 kama gpu na ni za zamani sana ila simu ya 2016 inatoka na adreno 304 halafu inauzwa bei ghali.