whiteseeds
New Member
- Jul 16, 2013
- 3
- 0
siku moja paka na mbwa walikuwa wanapiga stori. ikawa kama hivi
- paka: mimi nashangaa sana , yani huyu binadamu anatudharau sana maana katika wanyama awafugao wote anawala kasoro mimi na wewe mbwa tuuu !!!
- Mbwa: oya acha acha ujinga , uwe unatumia akili ukiwa unaongea maneno kama. usije ukaongea msemo huo IRINGA utaniponza mwenzako.