Naionya China, isijaribu

Well said, nilicho kuja kubaini kutoka kwa wachangiaji walio wengi ni kwamba exposure ina matter sana sana, yaani yeyote ambaye ni broad minded akipitia maelezo/ufafanuzi wako unaonekana wewe ni mwelewa sana katika masuala haya ya Geopolitical tug of war kati ya Western Nations specifically the US na Urusi na kwa
 
Shida iliyopo US wanategemea bidhaa za china, kuanzia chupi hadi mitambo,, sababu viwanda vilihamia china kukwepa gharama za uzalishaji marekani, [emoji16][emoji16]
Mchina anamtegemea mmarekani zaidi ya mmarekani anavyomtegemea mchina. Ndo maana mara kwa mara mmarekani humuwekea vikwazo mchina na mchina huonekana kutaka wakae chini na mmarekani ili wayamalize.
 
Na uzuri ni kwamba anawatumia ipasavyo Hawa maadui wa maadui wake,uko Ukraine inaonekana kafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana
 
Hahaha China huko anachokifanya!
Hii ngoma ikuendelea hivi Taiwan na US watapoteza zaidi.
Marekani watapoteza zaidi kivipi na wakati vita sio yake na haipiganiwi mlangoni kwake? Yeye atachofanya ni kuchochea vita ili auze silaha zaidi na wakati huo china itakuwa imedhoofika kwa kupoteza wanajeshi kibao, silaha na uchumi wake kuanguka kutokana na vikwazo vya wababe wa dunia ya kwanza. Usisahau china anauza bidhaa zake za maana zaidi katika nchi za ulaya haswa west countries na marekani. Kwahiyo hao wakimuwekea vikwazo, jumlisha upotevu atakaupata kupitia vita hivyo, basi kwisha habari yake. Marekani wanamtekenya tekenya kusudi aingie ulingoni aangushe uchumi wake na nguvu zake.
 

Attachments

  • Screenshot_20220805-154322.jpg
    69.5 KB · Views: 25
Vizuri.

Tuusubiri wakati utafafanua zaidi.
 
Wewe Sasa ndio umeongea kitaalamu na kisomi zaidiπŸ‘
 
Mimi kwa maoni yangu naona China kwa Sasa inamuhitaji Rais mwenye kaliba ya Chairman Mao Zedong ili kukamilisha mission ya Taiwan Unification.
 
1
 
Na uzuri ni kwamba anawatumia ipasavyo Hawa maadui wa maadui wake,uko Ukraine inaonekana kafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana
Ya ashafanikiwa kwa 80%. Ebu angalia jinsi Russia ilivyozungukwa na maadui waliotengenezwa na Marekani kwa kigezo cha NATO
 

Attachments

  • Screenshot_20220805-183223.jpg
    44.5 KB · Views: 29
Mm nampinga sana Putin kuivamia Ukraine ila siamini kuwa Puttin ni mjinga mjinga. So far kuna mambo mengi ameshaprove kuwa he is smart kwa kiwango cha USA na washirika kutokukurupuka anapodeal naye.

Huenda mtego upo kwenye muda kama unavyosema na kuna member mmoja alishasema Puttin atapigana muda mrefu sana na ni makosa kufikiri atachukua nchi kwa haraka Nyamizi na ni kweli yametokea.

Ila nasema sio mjinga kwa sababu mpaka kufikia sasa ameonyesha kuwa ni smart enough to play along with USA and NATO games. Fuel prices zimekuwa unstable, Food imebidi wakubaliane meli ziachiwe, kuna vikwazo imebidi kuwe na exceptions baadhi ya nchi na hapo ni yeye mwenyewe. Imagine angekuwa na saport ya moja kwa moja ya nchi kama China, Iran, India n.k na wakaamua kusimama nae.

Pamoja na mm kutomtakia mema huyu Puttin huko Ukraine, (Nataka ashindwe awaachie watu nchi yao, kama kuna changamoto diplomacy itumike au njia mbadala za kudeal na mgogoro) lazima tu kukubali kuwa nchi anayoiongoza inahitajika na so far ameonyesha kuhitajika kwake duniani.
 
Swala la kuzuia kuzingirwa na adui tayari Russia ishachelewa. Kwa sasa ishazingirwa pakubwa sana, japo kwa huyu mmoja (Ukraine) ndio kajitahidi kuzuia.
 

Attachments

  • Screenshot_20220805-183223.jpg
    44.5 KB · Views: 29
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…