Kuna kipindi mtu alikuwa akifaulu kwenda advance basi cheti cha O Level anakipiga noti watu wanakwendanavyo majeshini na sehemu nyingine za kiutumishi.
Mwaswali
1. Uliibiwa lini?
2. Uliripoti police na ulipewa loss report?
3. Kwa kipindi chote ulishindwa vipi kupata cheti kipya? Maana inaonyesha harakati nyingi ulifanya baada ya kuonekana umekosa check number.
Nijibu haya nikusaidie
Kuna kitu unadanganya hutaki kuwa muwazi. Umesema uliripoti mwakajana na huyo mtumishi akafukuzwa kazi, then umesema umeajiriwa mwaka huu mwezi wa 6 na sasa una miezi 7 hujalipwa mshahara.
Je, kutoka Juni mwaka huu mpaka hii Julai mwaka huu ni miezi saba? Ikumbukwe hapo hata mshahara wa July bado