Link ya hosts file haijabadilika, Mkuu.tuwekee hiyo link mpya
Aigoo mbona mimi mgeni kabisa maeneo haya
Mian-hae-yo. Sikulijua hilo.Aigoo mbona mimi mgeni kabisa maeneo haya
Mimi hata sijui bwanaMian-hae-yo. Sikulijua hilo.
Chingu,
Hujawahi kusumbuliwa na ads au matangqzo wakati ukitembelea mitandao mbalimbali kwenye internet?
Katika uzi huu nazungumzia jinsi ya kuyaondoa/block hayo matangazo kupitia ad-blocker niliyoitengeneza.
Cc: Damushin sunbae.
Mkuu haimaliz mb kweli?Link ya hosts file haijabadilika, Mkuu.
Unachotakiwa kufanya ni kui-update mara kwa mara kupitia hiyo hiyo link i.e 1hosts.cf
Kwenye DNS66, ndio kile ki-button cha kwenye browser nilichoeka picha yake huko posts za nyuma.
Ukibofya hio button basi itaji-update automatically.
![]()
Sisi wa linux inakuaje mkuu?Ukimaliza kuipakua pitia hizo nakala, Mkuu!
DNS66 Host-based Blocker for Android
How to Block All Ads on You Android Device Using DNS66
Kama wewe ni hardcore hii itakufaa.Sisi wa linux inakuaje mkuu?
nilikufuata inbox ukanipa maelekezo yote na nimeyafuata lakini matangazo bado ni vilevileFanya kutoa maelezo zaidi ili tusolve tatizo, Mkuu.