Naileta kwenu: hosts file kwa ajili ya ad-blocking!

Naileta kwenu: hosts file kwa ajili ya ad-blocking!

Screenshot_20171106-102342.png
 
Haswaaa. Swadakta mkuu!

Hapo tayari hakuna hosts file yeyote itakayozuia matangazo hivyo itabidi tuiweka hosts file yetu.

Bofya alama ya kujumlisha (+). Itafungua sehemu ya kuiweka hiyo hosts kama picha inavyoonesha.
Weka kama nilivyoweka mimi ila hapo kwenye "Title" weka ID yako!
Kwenye Location (URL or hosts): weka http://1hosts.cf
screenshot_20171106-103206-png.625412




Ukimaliza hapo bofya OK "alama ya tiki".

Kisha bonyeza alama ya juu ile ya ku-refresh ili kuipakua/update hiyo hosts file.

Kama kawaida, ukifanikisha nitumie screenshot!
 
hiyo alama ni hapo palipo andikwa refresh daily au kuna sehemu nyengine.
 
hiyo alama ni hapo palipo andikwa refresh daily au kuna sehemu nyengine.
Hapana ni kile ki-icon cha ku-refresh page kwenye browser yako.
20171106_111310-png.625415
 

Attachments

  • 20171106_111310.png
    20171106_111310.png
    1 KB · Views: 243
Mkuu Kabelwa,
Itabidi uanze mwanzo kabisa kwa ku-clear data za DNS66 kisha ufuate steps tulizopitia.
 
Back
Top Bottom