Valence Kyoma
Member
- Feb 2, 2024
- 13
- 3
Serikali imeipa muda serikali ifikapo juni tatizo liwe limeisha he he he kazi ipo
Pumbavu kabisa. Wanatuona hatuna akili.
Mradi wa umeme wa Julius Nyerere ni moja ya mradi unaotekelezeka kwa weledi mkubwa sana, sote tunajua mwezi wa sita mwaka huu ndiyo tulitegemea...