Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,908
- 945
NAIBU WAZIRI KIHENZILE: MIRADI ITEKELEZWE KWA KUZINGATIA MUDA NA THAMANI YA FEDHA
"Nawapongeza Mamlaka ya Viwanja vya Ndege kwa kuweka taa katika uwanja wa ndege wa Dodoma, uwanja huu kwa ripoti kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) inaonesha unashika nafasi ya 4 kwa kuhudumia abiria wengi, nina imani maboresho yakifanyika utapanda zaidi kutoka nafasi hiyo na sababu kubwa ni kwamba Dodoma kuna idadi kubwa ya watu hivi sasa" - Mhe. David Kihenzile, Naibu Waziri wa Uchukuzi.