Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani amempa wiki mbili mkandarasi wa kampuni ya Sengerema Engeneering Group kuhahakisha anamaliza kuunganisha umeme katika vijiji vitano vya kata Nyaruhande wilayani Busega mkoani Simiyu.
Mradi huo unalalamikiwa kusuasua na kuchukua muda mrefu kumalizika.
Mradi huo unalalamikiwa kusuasua na kuchukua muda mrefu kumalizika.