Naibu Spika: Watu wanaugua kwa Makelele ya Muziki

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
NAIBU Spika Mussa Azan Zungu ameitaka serikali kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kudhibiti kelele hasa za muziki katika makazi ya watu ambazo zimegeuka kero kwa wakazi.

“Wazee wengi wanateseka na makelele ambayo hayana udhibiti (control). Tuwaombe NEMC mchukue hatua mtoe adhabu kali kwa watu wanaopiga makelele hasa ya muziki,” amesema wakati akiahirisha kikao cha Bunge leo Aprili 24, 2023.

 
.... "hasa ya muziki"! Kelele ni kelele tu no matter source ni nini! Vyanzo vyote vinavyopitiliza viwango vinavyotakiwa vifungiwe aache unafiki.
 
NAIBU Spika Mussa Azan Zungu ameitaka serikali kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kudhibiti kelele hasa za muziki katika makazi ya watu ambazo zimegeuka kero kwa wakazi.

“Wazee wengi wanateseka na makelele ambayo hayana udhibiti (control). Tuwaombe NEMC mchukue hatua mtoe adhabu kali kwa watu wanaopiga makelele hasa ya muziki,” amesema wakati akiahirisha kikao cha Bunge leo Aprili 24, 2023.

View attachment 2598229
SIO MUZIKI TU HATA MAKANISA KATI KATI YA MAKAZI NI KERO KUBWA
 
Back
Top Bottom