Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,693
- 20,453
Basi ajiondoe kwenye chama chake ili 2015 asiwe mbunge agombee uspika. Lakini nadhani inatakiwa usiwe mwanachama wa chama cha siasa kwa miaka 5 kabla ya uchaguzi wa spika, kwa hiyo hata 2015 atakuwa bado hajakamilisha 5 years hata kama itatokea atajivua gamba leoAlikuwa anategemea kuwa speaker kamili 2015 kwa hiyo anaona shingo yake imeshaliwa!!!!!!!!!