Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Kutapatapa kwingine kwa Ndugai kunachekesha sana! Kwani Katiba na sheria ya sasa zinamzuia mtu kuwa Spika bila kuwa Mbunge? Si Pius Msekwa si aliwahi kugombea bila kuwa mbunge na akabwagwa na Sitta?
Kwa mtu kama Ndugai , bila kutumia ubunge ili kuwa Spika atakosa kabisa uwezo wa kuongoza bunge lenyewe (atapoteza kabisa Confidence ) , maana ni mvunja sheria za bunge ! Sasa anaona afadhali ubunge maana utamfichia aibu kuliko asipokuwa mbunge ! Shame on him !