Ndugai anaongozwa na emotions kuliko logic! Ameniudhi sana leo coz ni wanawake tu ndio huwa wanaongozwa na hisia. Kiukweli kaonyesha female character katika kulishughulikia suala la Ndugulile.
Ndugai amekaa kwenye tumbo la wanawake ambao umewahusisha na kuongozwa na hisia labda ndio maana amerithi kuongozwa na hisia. wewe uliyekaa tumboni kwa baba yako una bahati maana ungekaa kwa mama yako huenda nawe ungeongozwa na hisia...una bahati sana kutungwa tumboni mwa baba yako na hatimaye kuzaliwa nae yaani mko wachache kweli mliobahatika hivyo....
liwalo na liwe