Naibu Spika amuita Mbunge bwege Bungeni

Naibu Spika amuita Mbunge bwege Bungeni

Yule jamaa wa arusha si alimwitaga magufuli bwege akakakamatwa na huyo spika vipi?
 
Yupo sawa mabunge mengi mule ni mabwege
Mbona hajakosea
 
Naibu speaker hajakosea kuna wabunge mabwege kwa mfano Kubenea mzee wa Elimu ya hapa na pale aliyesimaa kuomba muongozo wa Shanga.

Kuna kitu kakuachia huyu si bure, miezi ikifika utakuwa ok
 
upload_2016-4-28_17-14-56.png
 
kwani nikisema mimi ni Lizaboni naonesha ulizaboni wangu nitakuwa nimekosea wapi?
 
Majina ya kutaniana hayatumiki ofisin, kazin wala bungeni mtu aite kwa majina yake sahihi huo ndo mwongozo wa nchi yetu Kwan wapo watumishi wengi serikalin majina yao eidha ya ukoo au walipachikwa mashuleni yaajabu kweli kweli so kikaz yatumike majina ya kikaz, aombe radhi mheshimiwa kwa jina hilo
 
wakati mwingine tuwe makini tunapochagua majina ili kuepuka haya. Kuna siku mjadala utazuka humu kuhusu Sugu. Spika atasema kuwa kuna Mbunge Sugu kwa kujipodoa na ndipo mtiti utakapoibuka
 
Majina ya kutaniana hayatumiki ofisin, kazin wala bungeni mtu aite kwa majina yake sahihi huo ndo mwongozo wa nchi yetu Kwan wapo watumishi wengi serikalin majina yao eidha ya ukoo au walipachikwa mashuleni yaajabu kweli kweli so kikaz yatumike majina ya kikaz, aombe radhi mheshimiwa kwa jina hilo
Mkuu, huyo Bwege wala haoni tabu kujiita na kuitwa jina hilo. Nashangaa mnapotokwa mapovu. Rais wetu anaitwa John Pombe Joseph Magufuli. Haina shida
 
Lema aliwahi kumwambia Mtemi Chenge kuwa Mtemi acha utemi wako. Mbona haikuwa mjadala humu?
 
Majina ya kutaniana hayatumiki ofisin, kazin wala bungeni mtu aite kwa majina yake sahihi huo ndo mwongozo wa nchi yetu Kwan wapo watumishi wengi serikalin majina yao eidha ya ukoo au walipachikwa mashuleni yaajabu kweli kweli so kikaz yatumike majina ya kikaz, aombe radhi mheshimiwa kwa jina hilo

Dr. Walid Aman Walid "Kabourou". Mussa Azzan "Zungu", Joseph Mbilinyi "Sugu" , Abdul Omar (Cisco) Mtiro, Charles Kitwanga "Mawe matatu". etc
 
Naibu speaker hajakosea kuna wabunge mabwege kwa mfano Kubenea mzee wa Elimu ya hapa na pale aliyesimaa kuomba muongozo wa Shanga.
Kuna mtu ana kesi mahakamani kwa kumwita mwingine bwege. Naibu speaker naye atapelekwa? Sasa na wewe unakazia kuwa kweli kuna wabunge mabwege!!! Yaani wananchi waliowachagua hawakujua wanachagua mabwege? Nadhani si haki kumwita mwenzio bwege. Bungeni watu wanatakiwa kuheshimiana na washindane kwa hoja sio kuitana mabwege. Hii ni dharau.
 
Back
Top Bottom