Vipi wewe kwenye kuhonga love??
Sihongi sweetheart bali tunasidiana...Vipi wewe kwenye kuhonga love??
500 ni Mia Mia 5 si ndio?Inasikitisha sana
tena sio kidogo KiongoziUnaumwa kabisa😀😀
Kabisaaaaa500 ni Mia Mia 5 si ndio?
MKE haongwi1Hivi kuhonga kupoje isijekuwa nahonga na sijui. Kumpa mkeo hela ya nywele, skincare, frequent mitoko na vitu kama hivyo ndo kuhonga au 🤔
kuhonga ni nini sasaMKE haongwi1
Mzee unatumia Samsung A05Kwa jinsi hela navoisaka kwa shida alafu nitoe kizembe zembe hivo mkuu
Kuhonga ni kutoa kile cha ziada usichokua nacho ili upewe cha ziada usichokua nachokuhonga ni nini sasa
kiongozi umeni-konyuzi hapa kwamba unatoa cha ziada ambacho huna?? hii inawezekanaje?Kuhonga ni kutoa kile cha ziada usichokua nacho ili upewe cha ziada usichokua nacho
Kwa mfano; unataka kumgonga manzi somewhere lazima uandae mazingira ya kumgonga km kulipia bills ndogo ndogo sasa hayo matumizi ndio Hongo
Cha ziada ambacho huna kazi nacho unahonga buku unakula 200kiongozi umeni-konyuzi hapa kwamba unatoa cha ziada ambacho huna?? hii inawezekanaje?