Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Serikali kupitia wizara ya ulinzi na JKT imesema kuanzia sasa utaratibu wa majeshi kuajiri raia na kuwapeleka kwenye mafunzo utasitishwa na utaanza utaratibu mpya wa kuajiri kutoka JKT. Uamuzi huo umetolewa na Waziri Nahodha ambaye pia ametoa wito pia kwa wizara ya mambo ya ndani kuagiza jeshi la polisi, magereza na zimamoto kuajiri wahitimu wa JKT na kuachana na utaratibu wa kuajiri raia wa kawaida.