Nahodha: Iko siku CCM itang'olewa

Swali: Ni lini CCM itaondolewa madarakani?
Baada ya miaka 10? 20? 50? 100? au?
 
Nadhani wanaweza kukubaliana na mie kuwa sasa dalili ya mvua ni mawingu na dalili ya CCM kupasuka tunaanza kuiona vema umelisema nahodha maana najua unalijua hilo
Kinachoendelea hata humo ndani ya CCM kwenyewe hawaaminiani kama zamani kinachosubiliwa ni muda tu.
 
Umenena vyema kuwa kinachotakiwa kubadilishwa ni system si chama lakini sikukuelewa uliposema hakuna lolote kwenye hii thread ulimaanisha mawazo ya Nahodha hayana maana au wanaochangia hii thread hawana maana yeyote.
 
Kiranga,
Ujana si panacea. Waangalie akina Ngeleja, akina Masha. Hawa kweli unaweza kusema kuwa ni viongozi wenye vision wanaoweza kuisukuma Tanzania kwenye neema?
I don't think so.
I think ni viongozi wazuri tu, labda unatumia macho mawili tu kuangali mtu yuko je. Wakati mwingine fungua macho ya ziada hasa yale ya ndani ya kuweza kutathmini kitu zaidi ya uonavyo kwa macho ya kawaida au ya jinsi wazee wa Diamond Jubilee wa JK wanavyoweza kusikia na kuona mambo!
 
Unaposema hawafai toa weakness ya kiutendaji tangu wamepewa nafasi ya uongozi. Tusitumie, feelings kuwahukumu wengine tutumie bongo zetu na facts ambazo unaweza ku-"substantiate".
 
"Wapo wana CCM ambao kimtazamo wanaona sisi ndiyo wenyewe, kumbe wenye chama ni wananchi wanaowatawala. Tuna kila sababu ya kuwa makini katika utelezaji wa majukumu yetu… jambo hili nawaambia si kweli,"
Si muda mrefu kitaeleweka tu!
 
Waha ndio watu wanaotakiwa kufahamika kama tu yy mwenyewe kajitamkia toka rohoni na ameziona Alama za Nyakati. Maaana wale wote wanaojifanya ndio wanamachungu na CCM nawambieni amini usiamini hao hao ndio wanafki namba ONE.

Huyu bwana sikajisemea hili ngoja mtasikia zengwe kwenye vikao vya ndani vya CCM. ooh ilikikshifu chama mara kile mara hiki
 
CCM ipo njia panda, hilo tamko la Waziri Kiongozi wa Serikali ya Zanzibar na kada wa chama ni mwanzo wa mwisho wa kuitawala Tanzania.
 
Bravo VUAI.....hakika umewavua wenzio kwenye dimbi la mawazo hasi, na kwa yanayotokea TZ kwa sasa sina shaka hata 2020 haitofika.

Unafaa kuwa Rais wa Zanzibar, au mpaka Karume akuambie nenda kajitizame kwenye kioo uone kama unafaa kuwa rais?..Much Lav
 
Unaposema hawafai toa weakness ya kiutendaji tangu wamepewa nafasi ya uongozi. Tusitumie, feelings kuwahukumu wengine tutumie bongo zetu na facts ambazo unaweza ku-"substantiate".
Nanu hivi tunaweza kujivunia nini kwa viongozi vijana kama kina Ngeleja, Macha, Nahodha...., mfano kwenye nishati kuna mabadiliko gani na ndani ya Mambo ya ndani ikiwemo polisi kuna nini ukilinganisha na awamu iliyopita.
 
CCM ipo njia panda, hilo tamko la Waziri Kiongozi wa Serikali ya Zanzibar na kada wa chama ni mwanzo wa mwisho wa kuitawala Tanzania.

wewe acha akiamka katibu mkuu wa chama toka usingizini mtasikia mambo yake, yeye haamini kabisa in that.
 

The Probl today in Tanzania is that the average person whether in office or out of office find it difficult to say things as they are, this might appear as a small issue but herein lies the major problem

honestly, I worry too much whenever I come across anyone that finds it difficult to accept mistakes, such a person will do anything to cover such mistakes and it is a dangerous thing. No one is perfect and we should be bold enough to accept responsibilities of our actions whether right or wrong.Perpertuated by a mega-political instituin,it's even worse

The issue of cover-up is simply an extention of corruption, nobody wants to admit mistake, even for academic and corrective purposes.


 
wewe acha akiamka katibu mkuu wa chama toka usingizini mtasikia mambo yake, yeye haamini kabisa in that.
MC Makamba upo umesikia mwenzako anavyo kuchokoza, haiwezekani naona huyu kijana wa juzi hakijui chama kilipoanzia.
 
mimi naona kwa nchi kama Tanzania,hakuna chama wala mtu yoyote atakayeongoza bila kujilimbikizia,hata kama CCM waking´olewa,the next regime itakuwa hivyo hivyo,uzalendo hamna kabsa siku hizi.
SOLUTION:Tuwaombe wakoloni warudi kuchukua nchi kwa miaka kadhaa mpaka hapo kutakapo kuwa na equal distribution of nation income/cake,chukua mfano wa hongkong......au wadau mnaonaje?
 
Wakoloni warudi mara ngapi Miss annie wapo lakini kwa sura tofauti kabisa wanawatumia viongozi wetu kama walivyokuwa wanatumiwa watemi wa enzi hizo, solution ni kupata kiongozi mmoja kichaa lakini awe mzalendo kama Iddi Amini hapo ndipo heshima itakaporudi.
 
Bibie,
Nakuomba usome kitabu cha Kwame Nkrumah: Neocolonialism, the last stage of imperialism. Ukoloni usharudi. Kwa sura nyeusi.
 
na kweli ni wakoloni weusi,watu wachache wameamua kututesa kwenye nchi yetu kwa maslahi yao binafsi,kilichobaki ni kupindua,i will be one of the coup de etat troops,nina hasira sana na CCM,one day i met a close friend of of one young minister... tukiwa safarini,akanielezea ni jinsi gani rafiki yake huyo (M****) anafaidi kodi zetu tena kwa majigambo,akasema jamaa walikuwa wote chuo lakini tangu alambe bingo ya uwaziri amekuwa bilionea ndani ya mda mfupi,akenda DUBAI per day allowance si chini ya dola 600,iliniuma sana nikamwambia tubadilishe topic manake ni majonzi jinsi CCM wanavyoendesha nchi wanavyotaka,we have to stand up na kupindua hamna la ziada...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…