Nahitimu Diploma Ya Kilimo Mwezi Huu

Nahitimu Diploma Ya Kilimo Mwezi Huu

herman3

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
592
Reaction score
784
Mwishoni mwa mwezi huu nahitimu mafunzo ya Kilimo Kwa Ngazi Ya Diploma,

Naomba popote itakapopatikana kazi tuwasiliane

Pia, Nina Uzoefu, Kwa Kuwa Nimefanya Field Ktk Wilaya Ya Makete, Kwa Hyo Ktk Crops Pamoja Na Livestock Ninauwezo Mzuri Wa Kufanya Kazi.
 
Naona umechanganyikiwa, jana ulisema una elimu ya kilimo ngazi ya cheti, Leo unasema Una Elimu ya Kilimo ngazi ya Diploma, sasa which is which?

Kwanza bado hujasota mtaani kwanza, wenzio wana Degree zao za kilimo wanakazi na wengine bado hawajapata kazi, sasa wewe jipange ukajiendeleze sijui diploma au Degree.

Huwezi kupanic na ajira wakati upo chuo au hujamaliza.
 
Naona umechanganyikiwa, jana ulisema una elimu ya kilimo ngazi ya cheti, Leo unasema Una Elimu ya Kilimo ngazi ya Diploma, sasa which is which?

Kwanza bado hujasota mtaani kwanza, wenzio wana Degree zao za kilimo wanakazi na wengine bado hawajapata kazi, sasa wewe jipange ukajiendeleze sijui diploma au Degree.

Huwezi kupanic na ajira wakati upo chuo au hujamaliza.

Certificate Nilimaliza, Lakini Kwa Sasa Nipo Diploma, Mwezi Wa Tatu, Huu Mwishoni Ndio Nahitimu Diploma, Kwa Hiyo, Hivi Sasa Nipo Ktk Maandalizi Ya Mitihani.
 
Naona umechanganyikiwa, jana ulisema una elimu ya kilimo ngazi ya cheti, Leo unasema Una Elimu ya Kilimo ngazi ya Diploma, sasa which is which?

Kwanza bado hujasota mtaani kwanza, wenzio wana Degree zao za kilimo wanakazi na wengine bado hawajapata kazi, sasa wewe jipange ukajiendeleze sijui diploma au Degree.

Huwezi kupanic na ajira wakati upo chuo au hujamaliza.

Mmm kila mtu na bahati yake .istoshe anaangalia mbele; si vizuri ulivyomkatisha tamaa hivyo.Na kama sijakosea me naona hakuna tatizo kusema ana cheti ama anategemea kupata diploma mwez ujao.
 
Mwishoni mwa mwezi huu nahitimu mafunzo ya Kilimo Kwa Ngazi Ya Diploma,

Naomba popote itakapopatikana kazi tuwasiliane kwa namba 0759891571

Pia, Nina Uzoefu, Kwa Kuwa Nimefanya Field Ktk Wilaya Ya Makete, Tarafa Ya Matamba. Kwa Hyo Ktk Crops Pamoja Na Livestock Ninauwezo Mzuri Wa Kufanya Kazi.

Endelea kuhangaika/ kutafuta na mungu akutagulie utapata
 
To Manage And To Care Farm Animals For The Aim Of Generating Profit.

what are the cons and prons of livestock keeping in tanzania? mention 5 regions with highest number of livestock in tanzania.
 
what are the cons and prons of livestock keeping in tanzania? mention 5 regions with highest number of livestock in tanzania.
Cons

Improve The Living Standard Of Livestock Keeper

Prons

It Influence The Conflict Btn Farmers And Animal Keeper I.E Morogoro
regions With Highest Number Of Livestock

Shinyanga, Arusha, Tabora, Mwanza And Manyara
 
what are the cons and prons of livestock keeping in tanzania? mention 5 regions with highest number of livestock in tanzania.


Prons=diseases, draught, low price. Cons=income, food, manure
 
1.what is artificial insermination?
2.what is propagation?

Process Of Inserminating The Collected Sperm Into The Vagina Of Female Aninal

Propagation The Process Of Multiplying The Number Of Species
 
Process Of Inserminating The Collected Sperm Into The Vagina Of Female Aninal

Propagation The Process Of Multiplying The Number Of Species

what is shifting cultivation?
 
chuo gan icho mnahitim mwez wa 3 akat wenzako ndo wapo 1st semister?,dah cjawah skia chuo cha kilimo wanamaliza mwez wa tatu aise1
 
chuo gan icho mnahitim mwez wa 3 akat wenzako ndo wapo 1st semister?,dah cjawah skia chuo cha kilimo wanamaliza mwez wa tatu aise1

chuo sio sekondari, kuhitimu itategemea mwezi na mwaka mlioanza masoma
 
Back
Top Bottom