admin naomba huyu mtu ashuhulikiwe kwanini anabadili matangazo ya watuNahitaji wahasibu 5 wanaokaa Dar Es Salaam
Nahitaji 4 na wewe na uzoefu wa miaka 3
Mshahara ni 3 ni 700k kabla ya makato
Mmoja awe na uzoefu wa miaka pamoja CPA.
Mshahara ni 1.5m kabla ya makato
[emoji23][emoji23][emoji23]CpA unipe laki 3 ? Upo serious ? Ama umekatwa kichwa ? Hata nikienda site kujenga (saidia fundi)kwa siku nakunja 15-20, hapo sina ujuzi... mafundi wanakula 40-60, unakatwa !!!!! Mna utani nyie ......
Mbona amesema CPA mshahara 1.5M hujaona?CpA unipe laki 3 ? Upo serious ? Ama umekatwa kichwa ? Hata nikienda site kujenga (saidia fundi)kwa siku nakunja 15-20, hapo sina ujuzi... mafundi wanakula 40-60, unakatwa !!!!! Mna utani nyie ......
Alikuja kuedit .... mwanzo alisema 300kMbona amesema CPA mshahara 1.5M hujaona?
Duuh hiyo hapana.Alikuja kuedit .... mwanzo alisema 300k
Duh zikija kazi hazitajwi mishahara shida zikija mishahara iko wazi matatizoHizi kazi mtu anataja na mshahara hapo hapo zina walakini....
Haya kila la kheri masta
Tuma maombi ya kazi wacha maneno ! Au sioDuh zikija kazi hazitajwi mishahara shida zikija mishahara iko wazi matatizo
So wabongo nini tunataka?
😂😂😂 Namshukuru Mungu bado amenihifadhi, Na pia taaluma yangu ni udereva na sio uhasibu.Tuma maombi ya kazi wacha maneno ! Au sio
Umeshawapata?Nahitaji wahasibu 5 wanaokaa Dar Es Salaam
Nahitaji 4 na wewe na uzoefu wa miaka 3
Mshahara ni 3 ni 700k kabla ya makato
Mmoja awe na uzoefu wa miaka pamoja CPA.
Mshahara ni 1.5m kabla ya makato