Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Mkuu kuna usemi mmoja wnasema kupanga ni kuchagua lkn kuchagua sio kupanga
Mahusiano ambyo hyana dira wla muelekeo huwa ynatucost na ynaturudsha nyuma piga mahesabu gharama zote ulizoztumia ungekuwa umewkeza sehem sahiz si ungekuwa mbali sna
Amua vema mtu ambae sio sahihi ktk maisha yko atakurudsha nyuma ht umpende vipi
Maisha ni muhim klko mahsiano ysyo na tija wla mwelekeo kwako maisha hykusubir
 
ushauri wangu ni hivi ni mara mia maumivu ulonayo leo ambayo ipo siku yatafika kikomo ,kuliko kumrejea alafu ukaendelea kuteseka daima ,la muhimu songa mbele hayo maumivu ni ya mpito yatakweisha tu
 
Naendelea kusoma ila naona kabisa ww huna moyo una lijiwe mwanamke wa hivyo labda aniwekee libwata maana cjawahi penda kama ivoo
 
Mungu akubariki sana Kaka. Asante kwa ushauri
 
Hiyo kauli ya kipigo cha mbwa koko imenichekesha sana,nimemkumbuka yule kamanda wa dodoma hahahaaha.Sasa kijana huyo mwanamke mwache inaonekana wewe ni kunguru na yeye ni mwewe nikimaanisha hamuendani kabisa na hii ni kwa mujibu wa maneno na matendo uliyoyaeleza.Pole sana
 
Wewe unaonekana mboga Saba,madem umewajulia ukubwani. Hata tukikushauri hapa haisaidii kwanza endelea kuonja joto ya jiwe. Ili nawe uje kuwa mshauri kwa watoto wetu
Hapana Mkuu, familia yangu ni wakulima na nimekulia Maisha ya kawaida Sana, hata sasa hii kazi ni kwa uwezo wa Mungu tu
 
Kaka unajiona kwenye uhusiano wako wa uchumba hivyo basi jua hatabadilika daima..maana uchumba ni kivuli cha ndoa... nakushauri ndugu najua inauma ila jipe mwezi tu na utakuwa sawa... ukiendekeza ukimwi upo karibu
 
Mapenzi upofu
 
Yani unashare na wanaume wenzio upo tu unatizama!!!!! Ama kweli tunatofautiana.

Wanawake walivyo wengi hivi, tafuta mtu upange nae maisha ujana una mwisho.
 
acha ujinga rudi haraka kwa mtu wako kama umeweza vumilia akitoka na jibaba, mara ma ex's, kutoa mimba yako kipi kitakushinda hata akileta UKIMWI Naamini utavumilia.

hii ndo shida ya kuanza mapenzi ukubwani, huna ujanja we rudi tu mkuu
 
Acha uzoba.... Huyo sio mwanamke wa kuweka ndani... Ni mdangaji hayo ndio maisha yake..... U think u can change her... Only a month kapata mzee... Na wewe uache kutia tia hovyo.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…