Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Yani huyo dada umemuona kwa macho yako mawili pasipo shaka yuko na huyo mzee, halafu pia na ex wake, na wewe unaweka matarajio yako hapo hapo . Hakika kizazi cha watoto wa kiume wanaojitambua kinapotea. Sasa sijui unataka ushauriwe nn wakati wivu unao lakn mwenzako unamkuta na wanamume wengne tena laivu.
 
Hapana Mkuu, familia yangu ni wakulima na nimekulia Maisha ya kawaida Sana, hata sasa hii kazi ni kwa uwezo wa Mungu tu
basi Kama Ni hivyo huyo mwanamke hafai keshazoea umalaya,haitawezekana kumbadilisha. Na kiasi Fulani inaonekana umefall kwake kwa hiyo cha msingi we mpotezee. Futa namba yake,block hadi kwenye social networks,mtaani mkwepe. Baada ya miezi kadhaa utaanza kuzoea. Then tafuta future wife kulingana Na sifa utakazo ila huyo hakufai
 
Yani huyo dada umemuona kwa macho yako mawili pasipo shaka yuko na huyo mzee, halafu pia na ex wake, na wewe unaweka matarajio yako hapo hapo . Hakika kizazi cha watoto wa kiume wanaojitambua kinapotea. Sasa sijui unataka ushauriwe nn wakati wivu unao lakn mwenzako unamkuta na wanamume wengne tena laivu.
Acha tuu Mkuu. Naamini jaribu hili litapita
 
basi Kama Ni hivyo huyo mwanamke hafai keshazoea umalaya,haitawezekana kumbadilisha. Na kiasi Fulani inaonekana umefall kwake kwa hiyo cha msingi we mpotezee. Futa namba yake,block hadi kwenye social networks,mtaani mkwepe. Baada ya miezi kadhaa utaanza kuzoea. Then tafuta future wife kulingana Na sifa utakazo ila huyo hakufai
Asante kwa ushauri
 
Pole sana, lakini nilichokiona kwako ni kuwa unajitahidi sana kulifanya duara liwe pembe tatu, na mpaka sasa bado hujatanabahi kuwa hilo ni jambo ambalo haliwezekani, pole sana.
 
Hapo niliteleza na nakiri nimekosea. Nitajirekebisha
Basi tafuta mwanamke mwingine, hasa pata ushauri toka kwenu au familia yenu
sasa hivi hujazeeka ukija fikia umri wetu UTAJUTA utakuta watoto wote si wako na baba zao wanawachukua na hapo hutakuwa na nguvu tena ya kusakanya
Hivi vitu viko sawa kabisa anachokuzidishia haponi style za UONGO kabisa ili kukuteka
au kua siri anakufichia lkn ipo siku atakuacha na kifo ubaki mdomo wazi
 
Pole sana, lakini nilichokiona kwako ni kuwa unajitahidi sana kulifanya duara liwe pembe tatu, na mpaka sasa bado hujatanabahi kuwa hilo ni jambo ambalo haliwezekani, pole sana.
Thanks Sista.. Kweli kbs
 
Wait! Wat? Umekutana nae sehemu za starehe? Afu unataka aache starehe? Are you serious?
 
Achana nae, kwanza mwanamke mlevi wakazi gani??

Mwanamke mwenyewe mlevi, kahaba, mdangaji, hana heshima lakini bado umemng'ang'ania tu anakupa nini cha ajabu mno?? Tigo?
 
Back
Top Bottom