Kwahio kwa pesa yake aliyonayo mnamsaidiajeBei ya lusaka ni $3600 for full loaded truck
Kwahio kwa pesa yake aliyonayo mnamsaidiaje
Bei ya lusaka ni $3600 for full loaded truck
Uko sahihilakini Tafsiri ya uzi wako ni kwamba unatafuta usafiri wa bidhaa zilizopo njiani kwenda zambia
Uko sahihilakini Tafsiri ya uzi wako ni kwamba unatafuta usafiri wa bidhaa zilizopo njiani kwenda zambia
Kwahio bei tafta maguta ya mchina yale 😅 yatafikisha mzigo salama!Habari Wakuu. Kuna mzigo uko bandari ya Dar nahitaji usafiri wa kupeleka Lusaka, Zambia. Ni kiasi cha Tani 900. Nahitaji malori yenye uwezo wa kubeba Tani 30. Bajeti ni Sh 150,000 kwa Tani. Naomba msaada kwa mwenye connection.
Tatizo ni budget. Bei zimekuwa juu. Asante kwa ushauriDo, yaani mpaka hapo hujui namna ya kusafisha mzigo wako ilihali umeagiza ukijua utaufikisha Zambia!.
Okay tumia Tazara kwanza unafuu wa garama na usumbufu mwingine.
Sawa mkuu nitajiiongeza kidogo. Na vipi kama nitakuwa na mzigo mwingine wa kutoka Lusaka kuja Dar ili gari zije nao, what is the best price for a two way trip per 30 tonnes truck?Kwahio bei tafta maguta ya mchina yale 😅 yatafikisha mzigo salama!
Hio hela ni gharama za diesel na vibali tu bado hela ya biashara kwa mwenye kampuni na mshahara wa dereva!😅
Mkuu iko hivi Bei ya kwenda Zambia au Congo inajulikana na pia Bei ya kutoka Zambia au Congo inajulikana kutoka dar kwenda au kutoka Zambia kurudi hivyo Wala usipate shida wewe Kama hela ipo sema upewe connection ya magari na sio kazi ya kupatania maana ni kazi zinafanyika kila siku mkuuSawa mkuu nitajiiongeza kidogo. Na vipi kama nitakuwa na mzigo mwingine wa kutoka Lusaka kuja Dar ili gari zije nao, what is the best price for a two way trip per 30 tonnes truck?
Haiwezekani usafiri wa reli ukawa juu zaidi ya maroli mkuu nakupinga kwa nguvu zote.Tatizo ni budget. Bei zimekuwa juu. Asante kwa ushauri
150,000 TSH per ton!!? Ur not serious brother,unazijua vizuri gharama za usafiri mpk Lusaka,road tolls,fuel, allowance, permit?Habari Wakuu. Kuna mzigo uko bandari ya Dar nahitaji usafiri wa kupeleka Lusaka, Zambia. Ni kiasi cha Tani 900. Nahitaji malori yenye uwezo wa kubeba Tani 30. Bajeti ni Sh 150,000 kwa Tani. Naomba msaada kwa mwenye connection.
Thanks a lot mkuu. Duniani kila siku ni wasaa wa kujifunza. Ninamshukuru kila mtu ambaye ananipa mwanga kwa swali nililouliza badala ya kunirudishia majibu ya kejeli. Kila mtu ana eneo ambalo ana uelewa nalo. Asanteni sana!Usd 70/t ni gharama ya kusafirisha mzigo kutoka dar mwanza mwamba mkuu.
Je unajua umbali na diesel inayotumika dar port mbaka Lusaka.?
Dar to tunduma ni km 920, tunduma to Lusaka ni km 1,023 . Nani apeleke gari kwa 150,000 kwa tani bro.
Next time theory nzuri ya kutaka kujua approximation ya gharama ya kusafirisha chukua numbers of kilometers unazotaka mzigo uende zidisha kwa usd 1.9 mfano dar Lusaka 1943 x 1.9$ = 3690usd.
Najua utakuwa umepata mwanga kiduchu
Usd 70/t ni gharama ya kusafirisha mzigo kutoka dar mwanza mwamba mkuu.
Je unajua umbali na diesel inayotumika dar port mbaka Lusaka.?
Dar to tunduma ni km 920, tunduma to Lusaka ni km 1,023 . Nani apeleke gari kwa 150,000 kwa tani bro.
Next time theory nzuri ya kutaka kujua approximation ya gharama ya kusafirisha chukua numbers of kilometers unazotaka mzigo uende zidisha kwa usd 1.9 mfano dar Lusaka 1943 x 1.9$ = 3690usd.
Najua utakuwa umepata mwanga kiduchu