Godwin Arnold
Member
- Feb 22, 2018
- 20
- 13
Habari wadau wa jukwaa hili.
Mimi ni kijana na mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi niko Dar wilaya ya Kigamboni.
Biashara hii nimeianza miezi miwili iliyopita, changamoto niliyonayo ni mtaji mdogo (nimeweka Tsh 9mil ukiachana na gharama za kodi, shelves na matengenezo mengine madogo madogo)
Nahitaji kupata supplier ambae atanipa mzigo kwa mali kauli nikiuza nampa pesa yake.
Mwenye connection anisaidie
Nina documents zote za biashara, kutoka BRELA, TRA na Halmashauri.
Mimi ni kijana na mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi niko Dar wilaya ya Kigamboni.
Biashara hii nimeianza miezi miwili iliyopita, changamoto niliyonayo ni mtaji mdogo (nimeweka Tsh 9mil ukiachana na gharama za kodi, shelves na matengenezo mengine madogo madogo)
Nahitaji kupata supplier ambae atanipa mzigo kwa mali kauli nikiuza nampa pesa yake.
Mwenye connection anisaidie
Nina documents zote za biashara, kutoka BRELA, TRA na Halmashauri.