Nahitaji supplier wa vifaa vya Ujenzi na Hardware

Nahitaji supplier wa vifaa vya Ujenzi na Hardware

Hiki ndicho kikwazo wanachopitia vijana wanapotaka kuanza biashara kutokea chini kabisa bila mtaji.
 
Usijejaribu kutia hati ya nyumba kwa mkopo bank wa biashara ya hardware utanishukuru
 
Kumtia Moyo ni kumlaghai na kumdumaza kiakili.

Cha muhimu Kama wateja anao,

Abane matumizi yake na afanye Mzunguko mkali Sana, Kila baada ya siku mbili ahakikishe anapakia mzgo.

Yaani account yake iwe njia ya kupitishia TU pesa, Kama ana assets au Liability kadhaa, aziuze zote TU aingize pesa dukani ili afanye mzunguko.

Baada ya MDA mfupi atajikuta amekua haraka sana na atajikuta hatohitaji hizo bidhaa za Mali kauli
Akili kubwa mtu wangu
 
DeepPond nilijua ni masuala ya jigijigi tu kumbe kwenye mambo ya biashara uko vizuri
Nimeappriciate the way ulivyo mkatia madini jamaa
 
Habari wadau wa jukwaa hili.
Mimi ni kijana na mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi niko Dar wilaya ya Kigamboni.

Biashara hii nimeianza miezi miwili iliyopita, changamoto niliyonayo ni mtaji mdogo (nimeweka Tsh 9mil ukiachana na gharama za kodi, shelves na matengenezo mengine madogo madogo)

Nahitaji kupata supplier ambae atanipa mzigo kwa mali kauli nikiuza nampa pesa yake.
Mwenye connection anisaidie

Nina documents zote za biashara, kutoka BRELA, TRA na Halmashauri.
Mkuu nitafute uchukue mkopo Hadi million 40
 
Unaweza kupata ma supplier wa vifaa vya ujenzi na kulinganisha bei zao kwa hawa jamaa mjenzi.co.tz
 
Back
Top Bottom