lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 616
- 1,267
Wadau wa JF, amani na upendo uwe Nanyi!
Nimekuja kwenu nikiwa nahitaji Compressor Mashine kwa ajili ya kutobolea mawe (drilling) ambayo baadae nitayavunja kwa baruti Kisha kuyauza kwa wateja. Bajeti niliyokua nayo ni milioni 11 net.
Je, naweza kupata kwa bajeti ya pesa hiyo? Kwa mwenye ujuzi naomba ushauri na msaada wa mawazo. Maana life kitaa sio poa, pia nataka niwekeze kwenye huo mradi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja kwenu nikiwa nahitaji Compressor Mashine kwa ajili ya kutobolea mawe (drilling) ambayo baadae nitayavunja kwa baruti Kisha kuyauza kwa wateja. Bajeti niliyokua nayo ni milioni 11 net.
Je, naweza kupata kwa bajeti ya pesa hiyo? Kwa mwenye ujuzi naomba ushauri na msaada wa mawazo. Maana life kitaa sio poa, pia nataka niwekeze kwenye huo mradi.
Sent using Jamii Forums mobile app