Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Habari wakuu,
Nahitaji simu original kabisa haraka sana iwezekanavyo, budget iliyopo ni pesa ya Kitanzania shilingi laki moja (100,000)
Napatikana Dar es salaam
Aina ya simu inayohitajika ni miongoni mwa zifuatazo:
• Samsung Galaxy S4
•Samsung Grand Prime pro
•Tecno Camon CX Air
•Samsung Grand Prime (bei inaweza pungua)
Note: Bei inaweza kushuka na sio kupanda, wanaohitajika kuni PM ni wale tu wenye simu nilizoziorodhesha hapo juu.
Matapeli na wenye simu fake wasipite kabisa katika uzi huu.
Nahitaji simu original kabisa haraka sana iwezekanavyo, budget iliyopo ni pesa ya Kitanzania shilingi laki moja (100,000)
Napatikana Dar es salaam
Aina ya simu inayohitajika ni miongoni mwa zifuatazo:
• Samsung Galaxy S4
•Samsung Grand Prime pro
•Tecno Camon CX Air
•Samsung Grand Prime (bei inaweza pungua)
Note: Bei inaweza kushuka na sio kupanda, wanaohitajika kuni PM ni wale tu wenye simu nilizoziorodhesha hapo juu.
Matapeli na wenye simu fake wasipite kabisa katika uzi huu.