Nahitaji silaha ya kujilinda ambayo is the best

Nahitaji silaha ya kujilinda ambayo is the best

Ngoja nikutafutie contacts za Adam Malima, hapo utaenda kujichagulia mwenyewe hata ukitaka tanks (vifaru)
 
aisee duniani kuna watu wa ajabu ,unajuaje imani yake !!!mbona yesu hakuzuia zile pesa kule mbaggala na makanisa kuchomwa ???? Hivo vitu vinabase kiimani zaidi mkuula sivo haifanyi kazi,yeye anataka silaha wewe unamwambia yyesu umpe basi akae hapo mlangoni kama ni silaha!!!

refer padri evarist ,wambie hao waache utani basi zile risasa zingekuwa hewa.no such power exist ukishavamiwa nakuibiwa utasikia mwombe mungu atakupa vingine !!!ideological base

example mokiwa ,hivi kwani hawa hawana yesu!!!jisaidie nami nitakusaidia

Nivea nimesoma comments zako zote and remained to be puzzled, sijui hata nikusaidieje. Nway naweza kukuambia jambo hili tu MWAMINI YESU KRISTO KATIKA YOTE NA IMANI YAKO IWE DHABITI NAWE UTAYAONA YOTE YANAWEZEKANA. Achana na mifano ya kuchomwa moto makanisa wala kuuawa kwa padre,, simama katika imani yako wewe katika YESU KRISTO PEKEE. Hoja ya maaskofu kuwa na silaha ni hoja mfu, mbona nyumba zao zina milango? mbona wanakula na kunywa na kuvaa? Kuna mengi husiyojua kuhusu imani kwa Mungu katika Yesu Kristo
 
sio kosa lako, inawezekana ni imani ya mfu lakini pia inawezekana ni kazi unayoifanya ndio maana unataka watu waamini kuwa hii ni nadharia ya majimaji
aisee duniani kuna watu wa ajabu ,unajuaje imani yake !!!mbona yesu hakuzuia zile pesa kule mbaggala na makanisa kuchomwa ???? Hivo vitu vinabase kiimani zaidi mkuula sivo haifanyi kazi,yeye anataka silaha wewe unamwambia yyesu umpe basi akae hapo mlangoni kama ni silaha!!!

refer padri evarist ,wambie hao waache utani basi zile risasa zingekuwa hewa.no such power exist ukishavamiwa nakuibiwa utasikia mwombe mungu atakupa vingine !!!ideological base

example mokiwa ,hivi kwani hawa hawana yesu!!!jisaidie nami nitakusaidia

nadharia ya majimaji war.
 
Nivea nimesoma comments zako zote and remained to be puzzled, sijui hata nikusaidieje. Nway naweza kukuambia jambo hili tu MWAMINI YESU KRISTO KATIKA YOTE NA IMANI YAKO IWE DHABITI NAWE UTAYAONA YOTE YANAWEZEKANA. Achana na mifano ya kuchomwa moto makanisa wala kuuawa kwa padre,, simama katika imani yako wewe katika YESU KRISTO PEKEE. Hoja ya maaskofu kuwa na silaha ni hoja mfu, mbona nyumba zao zina milango? mbona wanakula na kunywa na kuvaa? Kuna mengi husiyojua kuhusu imani kwa Mungu katika Yesu Kristo
tatizo ni kwamba mnasema mwnini yesu kristo ,doesnt make sense kwa mpagani ,au akifika hapo getini hatavamiwa au nyumbani ,wapeni watu siri yamafanikio ya kuwa na Yesu ,unajuaje imani yake.hapa ndipo wakristo wengi mnakosea sana nawiwa kusema hili kwa kweli mnawaambia watu okokeni kwa yesu kuna kila kitu wakifika huko empty set ,ulipasw umwambie fanya kazi kwa bidii huku ukimwomba mungu nakumtumaini yeye utafanikiwa -ok
kaka huyo kaona suluhisho kwake ni kuwa na silaha sio umwambie mwamini yesu tu.je unahakika mtu aliyengatwa nyoka mara 4 ukamwambia pita juu ya hao nyoka wakanyage atawakanyaga tu kwa imani rahisi namna hiyo??

ulitakiwa umshauri hivi ndugu bwana asipoulinda mji waulindao ni kazi bure ,lakini kama umeamua kununua silaha ni jambo zuri sio haramu wala dhambi wala kufuru kamwe ila umtegemee mungu katika nyumba yako maombi na imani dhabiti ya ulnzi wa mungu unasaidia pia .huu ni ushauri unaoeleweka at least
 
Mungu katika Yesu Kristo ndie silaha pekee, serious kabisa nakuambia, usianze ubishi katika hili
Panahitaji imani kubwa sana. Siyo hii ya kwenda tu kanisani kila jumapili.
 
Nivea nimesoma comments zako zote and remained to be puzzled, sijui hata nikusaidieje. Nway naweza kukuambia jambo hili tu MWAMINI YESU KRISTO KATIKA YOTE NA IMANI YAKO IWE DHABITI NAWE UTAYAONA YOTE YANAWEZEKANA. Achana na mifano ya kuchomwa moto makanisa wala kuuawa kwa padre,, simama katika imani yako wewe katika YESU KRISTO PEKEE. Hoja ya maaskofu kuwa na silaha ni hoja mfu, mbona nyumba zao zina milango? mbona wanakula na kunywa na kuvaa? Kuna mengi husiyojua kuhusu imani kwa Mungu katika Yesu Kristo



kuna vitu vingine huwa haviitaji kufunga na kuomba zaidi ya kutumia akili. Wewe upo kiroho na mtoa mada anazungumza kimwili.
Yusuph na Mariam walipoambiwa wamuondoe Yesu kumpeleka mahali pengine kwa kuwa herode angemuangamiza haikumaanisha kwamba nguvu ya herode ni kubwa kuliko ya Mungu. Mungu alikuwa na uwezo wa kumfanya lolote herode, lakini haikuwa ivo.

Yusuph na Mariam walitii but kwa wapendwa wa sasa wasiotaka kutumia akili wangegoma kwa kutegemea nguvu ya Mungu na mwishowe ni kuangamia.

Dont take GOD too serious, utamuelewa na kuna mambo hayawezi kukupa tabu.
 
Nivea, i understand you very well, na ushauri uliotoa ni muafaka kabisa kwakuwa umejaribu kuudadavua kwa undani zaidi. Ila nikuambie jambo moja la msingi huhitaji akili ya ziada mtu kufahamu kuwa ninapoambiwa nimwamini Yesu Kristo at the same time natakiwa kutimiza wajibu wangu ili MUNGU aone nayatumia vizuri maarifa aliyonipa wakati wa kuniumba. The problem is people do not read BIBLE for themselves ila wanatakiwa kila kitu wagubiriwe na kukaa kwenye mabenchi
tatizo ni kwamba mnasema mwnini yesu kristo ,doesnt make sense kwa mpagani ,au akifika hapo getini hatavamiwa au nyumbani ,wapeni watu siri yamafanikio ya kuwa na Yesu ,unajuaje imani yake.hapa ndipo wakristo wengi mnakosea sana nawiwa kusema hili kwa kweli mnawaambia watu okokeni kwa yesu kuna kila kitu wakifika huko empty set ,ulipasw umwambie fanya kazi kwa bidii huku ukimwomba mungu nakumtumaini yeye utafanikiwa -ok
kaka huyo kaona suluhisho kwake ni kuwa na silaha sio umwambie mwamini yesu tu.je unahakika mtu aliyengatwa nyoka mara 4 ukamwambia pita juu ya hao nyoka wakanyage atawakanyaga tu kwa imani rahisi namna hiyo??

ulitakiwa umshauri hivi ndugu bwana asipoulinda mji waulindao ni kazi bure ,lakini kama umeamua kununua silaha ni jambo zuri sio haramu wala dhambi wala kufuru kamwe ila umtegemee mungu katika nyumba yako maombi na imani dhabiti ya ulnzi wa mungu unasaidia pia .huu ni ushauri unaoeleweka at least
 
tatizo ni kwamba mnasema mwnini yesu kristo ,doesnt make sense kwa mpagani ,au akifika hapo getini hatavamiwa au nyumbani ,wapeni watu siri yamafanikio ya kuwa na Yesu ,unajuaje imani yake.hapa ndipo wakristo wengi mnakosea sana nawiwa kusema hili kwa kweli mnawaambia watu okokeni kwa yesu kuna kila kitu wakifika huko empty set ,ulipasw umwambie fanya kazi kwa bidii huku ukimwomba mungu nakumtumaini yeye utafanikiwa -ok
kaka huyo kaona suluhisho kwake ni kuwa na silaha sio umwambie mwamini yesu tu.je unahakika mtu aliyengatwa nyoka mara 4 ukamwambia pita juu ya hao nyoka wakanyage atawakanyaga tu kwa imani rahisi namna hiyo??

ulitakiwa umshauri hivi ndugu bwana asipoulinda mji waulindao ni kazi bure ,lakini kama umeamua kununua silaha ni jambo zuri sio haramu wala dhambi wala kufuru kamwe ila umtegemee mungu katika nyumba yako maombi na imani dhabiti ya ulnzi wa mungu unasaidia pia .huu ni ushauri unaoeleweka at least



naunga mkono hoja yako mkuu
 
Na wewe nani aliyekufundisha kuwa imani inapatikana kwa kwenda tu kanisani Jumapili? Jifunze zaidi
Panahitaji imani kubwa sana. Siyo hii ya kwenda tu kanisani kila jumapili.
 
Good comment mwakibete, unatakiwa ufahamu na nashukuru unafahamu hili kuwa wakati wote wa maisha yetu tunaishi katika ROHO na katika MWILI kwa wakati mmoja. Huwezi kuvitenga hivi vitu hata siku moja. Na ndio maana pamoja na kumwamini Yesu Kristo tunakwenda hospitali tunapoumwa. Haya pia ni maagizo ya Mungu.
kuna vitu vingine huwa haviitaji kufunga na kuomba zaidi ya kutumia akili. Wewe upo kiroho na mtoa mada anazungumza kimwili.
Yusuph na Mariam walipoambiwa wamuondoe Yesu kumpeleka mahali pengine kwa kuwa herode angemuangamiza haikumaanisha kwamba nguvu ya herode ni kubwa kuliko ya Mungu. Mungu alikuwa na uwezo wa kumfanya lolote herode, lakini haikuwa ivo.

Yusuph na Mariam walitii but kwa wapendwa wa sasa wasiotaka kutumia akili wangegoma kwa kutegemea nguvu ya Mungu na mwishowe ni kuangamia.

Dont take GOD too serious, utamuelewa na kuna mambo hayawezi kukupa tabu.
 
hayo mengine yote sijui ya imani etc tuachane nayo, badala yake kwa wale ambao tayari wanamiliki silaha tuelekezeni na sisi wengine, ni kwa namna gani mlizipata? Natamani kujua utaratibu pia wa kupata silaha, maana mtaani kwetu ni shida tupu. Kukicha bila kugongewa mlango unamshukuru Mungu.
 
Habari zenu member jf,nahitaji mni shauri silaha ambayo ni nzuri ya kujilinda kwasababu walishakuja kunivamia mara 4,nyumbani kwangu Bunju,n mara ya mwishu ilikuw kabla ya pasaka na siku nyingine ilikuwa mwenyewe na kunichukulia 2m,ndani ya gari,sasa nataka bastola amabayo naona ndo itakuwa dawa yao.

Inategemea hiyo siraha unataka ya kujilinda uwapo nyumbani tu, au iwe rahisi kubebeka uwe unatembea nayo? Suala la ulinzi nyumbani ni pana kidogo,, unaweza kuwa na siraha yako na wahalifu wakakuwahi ukashindwa kuitumia hivyo hiyohiyo siraha ikakutia matatani! Angalia mazingira unayoishi, kama umeshavamiwa mara nne huenda unaishi maeneo hatarishi kwako labda kulingana na kipato chako. Angalia mazingira yanayokuzunguka, majirani zako mnakaribiana kipato? wakati mwingine si vyema kuishi uswahilini wakati kazi zako zinakulazimu kuwa na cash na vitu vya thamani ndani. Pia jaribu kuboresha ulinzi nyumbani kwako, zungusha ukuta au fensi na geti imara, ikiwezekana weka walinzi usiku, au fuga mbwa wakali; kumbuka bunduki nayo inahitaji kulindwa ndiyo ikulinde! Ukishahakikisha mtu hawezi kuvuka uzio wako unnoticed ndiyo sasa unaweza kuwaza siraha ya moto, kukulinda na wale walio desperate, ambao hawazuiliwi na mbwa wala ukuta.
Kuhusu uchaguzi wa siraha jaribu kujisomea kwanza hapa:Choosing a Home-Defense Gun
 
Na wewe nani aliyekufundisha kuwa imani inapatikana kwa kwenda tu kanisani Jumapili? Jifunze zaidi
Kumbe kanisani watu wanakwenda kufanya nini kama hawana imani na Mungu? Au wanakwenda ili kuonekana na watu kwamba na wenyewe ni wanachama wa kanisa?
 
elewa kwanza swali langu then ndio unijibu, sijasema watu wanakwenda kufanya nini kanisani, soma vizuri ndugu
Kumbe kanisani watu wanakwenda kufanya nini kama hawana imani na Mungu? Au wanakwenda ili kuonekana na watu kwamba na wenyewe ni wanachama wa kanisa?
 
example mokiwa ,hivi kwani hawa hawana yesu!!!jisaidie nami nitakusaidia

military.jpg

unasemaje hapa Nivea..?
 
Last edited by a moderator:
Shortgun pump action ni nzuri kwa matumizi ya nyumbani sana ila kama unataka bastola ni vyema kulamba glock 19 9mm utaipenda na utaifurahia sana . Ila bei ipo juu kidogo
 
Back
Top Bottom