La Cosa Mia
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 271
- 127
Wakuu ambaye anajua namna ya kutengeneza cheulo ningependa anisaidie kwa hilo.
Cheulo?? Ndio nn hio mkuu
Cheulo ni zile tambi zinatengenezwa kwa unga wa dengu? farkhina malizia me nishaanza
Cheulo?? Ndio nn hio mkuu
Cheulo ni zile tambi zinatengenezwa kwa unga wa dengu? farkhina malizia me nishaanza
Chauro jaan
ni kama mchele uliokaangwa na umetiwa rangi, unauzwa sana uswahilini
CHAURO
njugu robo kilo zikaange kwa mafuta,
ukisha kaanga pepeta kilo 1 pia kaanga kwa mafuta km njugu,
chukua bakuli tia unga wa dengu robo kilo tia maji kidogo chumvi na bizari kidogo.uponde uchanganyike uwe mzito zito, tia ktk machine ya chauro pika chauro utapika tambi zako za unga wa dengu ktk mafuta ya njugu na pepeta.ukimaliza tia ktk bakuli vitu vyote ulokaanga tia pilipili na chumvi km utahitaji
tayari chauro.
Cc farkhina La Cosa Mia atoto
hasante mama, japo nadhani sio hizo alizoulizia, ni zile za kutengenezwa kwa mchele
Pepeta ndo mchele au siyo mnaouongelea?!
Pepeta ndo mchele au siyo mnaouongelea?!
Kuna nyengine mchele unakaangwa my dear unakua unaweka na rangi mfano yellow na red ndio jamii za chauro.....
Kuna nyengine mchele unakaangwa my dear unakua unaweka na rangi mfano yellow na red ndio jamii za chauro.....